Huyu ni wa kwetu kabisa, analikataa chama humu mtandaoni tuuu. Ila mtaani ni Arsenal lia liaNaona umeanza kubadili msimamo wako sasa umegeuza ubao umeanza kusema mwaka huu tusipochukua
Huwa unanichekesha Sana we jamaa na hizi ngojera zako
Kai si karudi?Kutoka Instagram,
Mikel Merino: "Time to stop now with a foot injury. Sometimes life throws this kind of challenges when is less convenient. Just another opportunity to be strong, resilient and overcome it. We have the best medical team and together we wil come back stronger.
Thank you all, your support means everything to me and I can't wait to be back on the pitch soon, helping my team and doing what I love..."
Mjuba atakua nje kwa ma-week kadhaa. Wakati huo, Ethan yupo on loan. Baadhi ya pages za wadau wa Arsenal mitandaoni, zina-report Arsenal kuingia sokoni leo, deadline day.
Upande wa maoni mitandaoni, MLS kurudi kati ndo yametamalaki zaidi kule X.
Miaka 70 mkuu, kabla ya msimu jana mara ya mwisho Nyukesto kushinda taji ilikuwa 1955Newcastle walikaa zaidi miaka 50 ndo msimu Jana 2025 wamechukua major trophy moja, Carabao cup
We will miss him dearly but he will come back strongKutoka Instagram,
Mikel Merino: "Time to stop now with a foot injury. Sometimes life throws this kind of challenges when is less convenient. Just another opportunity to be strong, resilient and overcome it. We have the best medical team and together we wil come back stronger.
Thank you all, your support means everything to me and I can't wait to be back on the pitch soon, helping my team and doing what I love..."
Mjuba atakua nje kwa ma-week kadhaa. Wakati huo, Ethan yupo on loan. Baadhi ya pages za wadau wa Arsenal mitandaoni, zina-report Arsenal kuingia sokoni leo, deadline day.
Upande wa maoni mitandaoni, MLS kurudi kati ndo yametamalaki zaidi kule X.
Akija huyo jamaa hii mid itakua ya moto balaa
Unfortunately, ni tetesi kama tetesi nyingineAkija huyo jamaa hii mid itakua ya moto balaa