Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona umeanza kubadili msimamo wako sasa umegeuza ubao umeanza kusema mwaka huu tusipochukua

Huwa unanichekesha Sana we jamaa na hizi ngojera zako
Huyu ni wa kwetu kabisa, analikataa chama humu mtandaoni tuuu. Ila mtaani ni Arsenal lia lia
 
Kutoka Instagram,

Mikel Merino: "Time to stop now with a foot injury. Sometimes life throws this kind of challenges when is less convenient. Just another opportunity to be strong, resilient and overcome it. We have the best medical team and together we wil come back stronger.

Thank you all, your support means everything to me and I can't wait to be back on the pitch soon, helping my team and doing what I love..."


Mjuba atakua nje kwa ma-week kadhaa. Wakati huo, Ethan yupo on loan. Baadhi ya pages za wadau wa Arsenal mitandaoni, zina-report Arsenal kuingia sokoni leo, deadline day.

Upande wa maoni mitandaoni, MLS kurudi kati ndo yametamalaki zaidi kule X.
 
Kai si karudi?
 
Kwa mara ya kwanza tuliingia dirisha la usajili January na hakuna shabiki aliyeona tunahitaj kusajili.

Sasa Merino kaumia.

Kai inatakiwa asicheze sana.

Nikajisemea si tuna Eze na Norgaard? Nikakumbuka nilivyokua najisemea si tuna fulani na fulani halafu tunaanza kupoteza points.

Kubababake kama Berta na Arteta wanasema tunasajili let's fuckin do it, hakuna kuonea huruma hizi pimbi.
 
Kutoka X

Arsenal wamewasiliana na Newcastle kuhusu uwezekano wa kupata huduma ya Sandro Tonali!!!!!!!!
 
Anaandika Florian Plettenberg wa Sky Sports, huko X (Saa 12:00): "EXCLUSIVE | Arsenal are exploring a surprising Deadline Day move for Sandro #Tonali.

Very difficult at this stage, as Newcastle have rejected an initial approach."
 
Lee Ryder, mwandishi wa habari za Newcastle (Saa 12:12): It's understood that #nufc have instantly dismissed any suggestions of Arsenal and Sandro Tonali. No contact whatsoever I'm told
 
Luke Edwards, BBC sports podcaster (12:25): Newcastle United have described stories claiming Arsenal have made a late attempt to sign midfielder Sandro Tonali as “stupid” and “complete rubbish.” But other than that, it’s a good story.
 
Muda huuu (13:00), Fabby na Ornstein, wametulia tuuu wakicheki adrenaline rush kwa mashabiki wa Arsenal
 
We will miss him dearly but he will come back strong
 
Tuliambiwa Saka ni WC
Ana G/A ngapi mpaka sasa tumeshavuka nusu msimu? Huyu mmakonde ni hype tu.... hawezi kukupa 20G/A per season......

Yeye na captain wake ode ni matapeli hapo Arse8.. . Mpaka mje mgundue too late ...

Word cup inakuja, atakuwa bench warmer...tuchel hana masikhara
 
Nasema hivii mkichukua EPL, niitwe Jibwa koko. kimahesabu mna asilimia nyingi sana za kutoka patupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…