Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nani anajulikana kwa kupaki bus, uliangalia fainali ya Inter vs Barca ? Ni namna gani Mou alibeba lile kombe? Alicheza attractive football? Fegerson alivyomfunga Bayern dakika za mwisho alicheza attractive game?
Ile semi-final mourinho first leg inter alishinda kaenda Nou camp kuna mchezaji wa inter alipigwa red card ulitaka mourinho afanye nini mzee ilikua nikulinda tu mwanzo mwisho na ni mtaalam wa kazi hio sio kama nyie watu wakiwashikia kasi tu dakika 10 nyingi mnakufa.
 
Huyu kenge Labyrinth 84 hata hawezi kumbuka ni lini mara ya mwisho Nyukesto waliwahi kuwa tittle contender achilia mbali kubeba ila utamkuta humu ameshupaza shingo kutwa kucha kuikandia Arsenal.

Pumbavu kabisa!
Mimi ninachokumbuka newcastle ndani ya miaka 3 tuna kombe , nyinyi ndani ya miaka 3 mna nini cha maana zaidi ya nafasi ya 2.
 
Mimi ninachokumbuka newcastle ndani ya miaka 3 tuna kombe , nyinyi ndani ya miaka 3 mna nini cha maana zaidi ya nafasi ya 2.
Tuna miaka mitano tu hatujabeba kombe coz mara ya mwisho kubeba kombe ilikuwa 2020 ( FA cup)

Haya wewe sasa Nambie kabla ya kubeba carabao msimu Jana mlikuwa mmekaa miaka mingapi bila kuchukua kombe lolote.

Naomba unijibu tafadhali
 
Tuna miaka mitano tu hatujabeba kombe coz mara ya mwisho kubeba kombe ilikuwa 2020 ( FA cup)

Hata wewe sasa Nambie kabla ya kubeba carabao msimu Jana mlikuwa mmekaa mingapi bila kuchukua kombe lolote.

Naomba unijibu tafadhali
Tangu Newcastle ianzishwe ile Carabao ndiyo kikombe chao cha kwanza.

Timu inavuja kila sehemu lakini husikii kocha akiogopa kufukuzwa wala mashabiki kudai kocha hafai.
 
Tangu Newcastle ianzishwe ile Carabao ndiyo kikombe chao cha kwanza.

Timu inavuja kila sehemu lakini husikii kocha akiogopa kufukuzwa wala mashabiki kudai kocha hafai.
Afu jamaa anakaza fuvu kujifanya mjuaji kutuliko Sisi wakati timu yake yenyewe tunaijua ndani nje
 
Tuna miaka mitano tu hatujabeba kombe coz mara ya mwisho kubeba kombe ilikuwa 2020 ( FA cup)

Haya wewe sasa Nambie kabla ya kubeba carabao msimu Jana mlikuwa mmekaa miaka mingapi bila kuchukua kombe lolote.

Naomba unijibu tafadhali
Miaka 5 unaona michache sio? Tushabeba kombe tayari miaka ishafutika, Newcastle ya sasa ni ya matajiri tena mna bahati tu wameleta mambo ya PSR ingekuwa enzi zile wangemiminika vifaa vyakutosha.
 
Miaka 5 unaona michache sio? Tushabeba kombe tayari miaka ishafutika, Newcastle ya sasa ni ya matajiri tena mna bahati tu wameleta mambo ya PSR ingekuwa enzi zile wangemiminika vifaa vyakutosha.
Sasa kama miaka 5 ni mingi na vipi kuhusu miaka 70 ambayo timu yako ilikaa bila kushinda chochote😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…