Hawa wetu leo, Theo W na Gerv wanachechetuka sana wakiwa na mpira, inabidi wawe na confidence tu.
Hawa wetu leo...!
Walcott ana kili ndogo sana ya Soka ni pace ndo inamuokoa.....
Vijana wanajitahidi medias zilikuwa zina tu underestimate sana tu
So far Kati jamaa wamedhibiti... RAMSEY is unseen.... Mipira haiendi mbele kabisa..... hatuna move hata moja ya maana