Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dogo kumbe wakishua enzi hizo unacheki Tv kwenu mna mpaka madishi wakati wengi wakiwa analog na Tv mpaka kwa jirani wachache.

Mimi nimeanza 2008 enzi hizo nipo darala la kwanza
Acha dharau mi sio wa kishua, mimi ni raisi wa ma jobless pro max

Yale madishi yalikuwa big deal, geuza huku channel 100, geuza kule wahindi.
 
Shindeni mechi zenu acheni shobo kuwategemea wanaume wa nje.
 
Arsenal Bado mechi 17 tutangaze ubingwa

Ukitoa kenge, nyumbu, spurs, bournemouth, hizo ni must win games technically tutakua tumebakisha michezo 13 kutangazwa ubingwa

Happy new year
Kama kawaida yenu wazee wa Netflix
Mnaendelea mlipoishia Mwaka JanaπŸ˜‚
 
Aisee kumbe humu tupo na watoto, yaani 2008!! upo darasa la kwanza mi ndio napata mtoto wa kwanza, achana na zilizonywewa P2 kipindi nasoma, kama sivo ungeweza kuwa umri wa mwanangu.
Noma sana, hatutakiwi kubishana humu. Unaweza kuta unabishana na mwanao
 
2008 la kwanza?


Kumbe ndo maana ni halali yenu kushabikia man city
Nimeanza mwaka huo ila uwezo wangu wa kimpira na uchambuzi zaidi ya aliyeanza miaka ya nyuma .

Historia ya mpira ipo kichwani kipindi nipo mdogo mpaka watu wazima walidhani Mimi mtoto wa maajabu , maana nilikuwa nawachambua mpka Zidane , Delima , Inzaghi , Robert Carlos , Van Nestoroy , Owen , Figo nk

Nilikuwa DVD za mechi nilikuwa nacheki misimu na mechi za nyuma .

Mimi nilikuwa Man U wa kutupwa sasa hivi sina ushabiki Wala muda wa kucheki mpira karibia miaka miaka mitatu sasa sipo active kwenye mpira na ushabiki wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…