Hata mechi ya Chelsea jamaa alikuwa hovyo sanaKama unashangaa kwanini Eze hajaanza game ya 3 mfululizo kumbuka goli la Cash wiki kadhaa nyuma walivyotufunga 2 - 1.
Angalia Cash alikua wapi, Eze alikua wapi na mpira ulikua wapi. Hapa ndiyo unakumbuka Martinelli hua anacheza 90 minutes ingawa hascore na hatoi assists mpaka fanbase inalaumu.
Ndiyo mambo kama hayo.
Merino angekuwa kachangamka kidogo tu basi angekuwa mzuri zaidi....shida yangu mm na yy Kuna mechi nyingi akicheza kiungo timu unakuta IPO kwny transition ila yy anapooza shambulizi kilofa tu....yule mm kumkubali itachukua karne aiseeAna vision ya merino, ni press resistant mzuri zaidi ya merino.. kwenye kushambulia anakupa anachokuofa merino?
Simkatai Norgaard ila wachezaji huzidiana kwa sifa tofauti tofauti, na unaweza kuta mwalimu anamchagua mchezaji kwa sifa fulani tu
Hana pace na physically siyo strong sana, anategemea technic zaidi.Merino angekuwa kachangamka kidogo tu basi angekuwa mzuri zaidi....shida yangu mm na yy Kuna mechi nyingi akicheza kiungo timu unakuta IPO kwny transition ila yy anapooza shambulizi kilofa tu....yule mm kumkubali itachukua karne aisee
Kwenda city inaweza ikatokea kweli ila Arsenal kuchukua ligi hilo haliwezi kutokea mkuu.Kenge wamemtimua kenge mkuu.
Baada ya kumpa sifa na kumfananisha na Arteta wamegundua jamaa ni tapeli.
Ikatokea anaenda City, halafu Arsenal ikachukua kombe la ligi msimu huu basi na msimu ujao tunachukua tena.
Merino angekuwa kachangamka kidogo tu basi angekuwa mzuri zaidi....shida yangu mm na yy Kuna mechi nyingi akicheza kiungo timu unakuta IPO kwny transition ila yy anapooza shambulizi kilofa tu....yule mm kumkubali itachukua karne aisee
Hivi huwa ni nani anafananisha? Kana kwamba Arteta ni bonge la kocha au ukilaza wake?Nafikiri mashabiki wa timu pinzani waache kufananisha makocha wao na Arteta.
Ole
Erik
Conte
Potter
Enzo
Tuchel, tena huyu ni wakati Arsenal ipo hovyo kwelikweli.
Slot
Mashabiki wa United hawajamfananisha Amorim na Arteta kwakua they learned it the hard way kwa Ole na Erik.
De Zerbi akiwa Brighton waandishi wa habari nao walikua busy kumfananisha na Arteta. Kilichofuata tukakiona.
Leo nasikia De Zerbi anarudishwa Chelsea, kama watakua hawajajifunza kwa failures wao waliopita wataanza tena.
And we will be side by side watching nani atakua alama ya aibu halafu tutajionea
Hawa jamaa wako brain washed, ukiwasikiliza unaweza ukastaajabu. Kwa mujibu wao Arteta ni bonge la kocha wakat angekua timu nyingine alitakiwa awe ameshafukuzwa siku nyingi.Kwenda city inaweza ikatokea kweli ila Arsenal kuchukua ligi hilo haliwezi kutokea mkuu.
Hapo mwisho umemaliziaje vile? Kwamba na msimu ujao mnachukua tena😂😂😂 ndo yale yale ya kushinda match na real madrid robo fainali mnaanza kutafuta wakucheza nae final
na wewe hiyo imani kampe DelapPale mmepgwa, hakuna wa kumuimba. Hii imani iweke kwnye biashara upate hela. Kwa hilo zwazwa punguza matumaini.
Kamuulize CucurelaYaan Saka ni world class, upo serious ww??
Mgeeni timu yenu sasa.Hivi huwa ni nani anafananisha? Kana kwamba Arteta ni bonge la kocha au ukilaza wake?
Enzo tu kimafanikio amemuacha mbali sana Arteta, hata tusimguse Slot, Conte au Tuchel next level, huyo Arteta wenu mfananisheni na hao makocha wenzie akina De Zebri na hata huyo De Zebri akipewa timu nzuri tu atamuacha mbali sana.
Kamuulize Cucurela