Arsenal (The Gunners) | Special Thread

SAKA na MARTINELLI msimu wa mwaka jana au juzi nilisema hawa ni AVERAGE players, hawawezi endelea na moto ule ule..
Ila kikubwa timu inashinda hamna tabu.
Naona odergard nae sasa hivi kapata akili za kushoot
Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.

Mlikuwa mnakataa Odegard kuna kipindi, sasa hivi mmeanza kujirudi.
 
Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.

Mlikuwa mnakataa Odegard kuna kipindi, sasa hivi mmeanza kujirudi.
Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,

Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..

Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…