Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama haujaangalia mechi unaweza ukaamini vitu vingi kweli kweli.

Chelsea alipaki basi. Relied on break offs, long balls na counters. Maresca alijua anachotaka akaweka wachezaji wana pace ili kuenforce hili.
Bahati mbaya Estevao kwa sasa hana tofauti na Antony ila ilibidi aexploit weaknesses za Calafiori kumuacha peke yake mara nyingi.

Goli walilofunga Chelsea ni timu chache sana zisingefungwa, Gods of football made sure Arsenal concede set piece halafu Arsenal ipate goli la open play.

Notice jinsi hakuna anayelalamikia tena set piece goals.

Notice hakuna anayesema Cucurella ni best LB. Cucurella hajawahi kukutana na Arsenal akaperform, sasa subiri mechi mbili zijazo wataanza upya.

Notice hakuna anayesema Caicedo ni best DM. Hiyo title wamempa Reece. But what did he do? Timu ina possession ya 30% what was he doing?

As of now mtu wa 8 ana chance ya kumtoa Chelsea alipo kuliko Chelsea kumtoa aliye nafasi ya 1. But they don't see this, inanikumbusha Manchester alivyofungwa moja wakasema ila tumecheza vizuri ligi ijiandae. Same vibes hapa.

Arsenal kacheza domestic cups, FA na Carabao na Ligi, kacheza UCL na kapoteza game 1 kasuluhu 3. "Tutakutana March" "Tutakutana March" si tukutane sasa au?
 
Chelsea wako nyumbani WANAPAKI BASI!
WANAFURAHIA DRAW!
ARE THEY A SMALL TEAM IN DISGUISE?!
 
Vp suala la kunitajia kombe moja la nje ya UK limefikia wapi mkuu?
 
Run it back

Arsenal vs City. Kila mtu akasema Arsenal kadominate game. Possession Arsenal 67% na City 33%

Chelsea vs Arsenal. Possession Chelsea 32% na Arsenal 68%. Safari hii tunasema Arsenal kacheza hovyo.

Why? Same stats, same results. Kwanini safari hii tunaona Arsenal kacheza hovyo?

Ni kwakua kila mtu aliamini Arsenal anatakiwa kushinda. Hata mashabiki wa Chelsea wanajua hivyo ndiyo maana wanaona Arsenal imecheza vibaya.

Game against United.

Manchester possession 61% na Arsenal 39%. Matokeo Arsenal kashinda ila wote tukasema Arsenal kacheza hovyo. Why? Coz wote tunaamini Arsenal anatakiwa kuifunga united goli zaidi ya 1.

So, hapa ndipo watu wanajisahau.

Standards.

Mechi ya jana ingekua United kachukua nafasi ya Arsenal United ingesemwa imecheza vizuri. Coz everyone believes United are shitty but siyo Arsenal.

Siku hizi pundits wanaihukumu Arsenal kwa shots on target, siyo kupoteza mechi.

Everyone believes Arsenal inatakiwa kuifunga Chelsea, kutoifunga ndiyo yanazalishwa haya mastori ya uongo
 
Hy fainali ya Europa tuliyompiga 4-1 ndio usiku wao wa kukumbukwa πŸ˜‚ mana hajawahi kufika fainali yoyote ya maana
 
Vp suala la kunitajia kombe moja la nje ya UK limefikia wapi mkuu?
Nje ya UK Arsenal imeshinda makombe ambayo hayana umuhimu kama hilo la Club World Cup. Ninaweza nikakutajia ila itakua haina maana.

Umefurahi au una spinning mpya?
 
Walikuwa na mdomo vibaya na propaganda nyingi ili tuwaone ni timu tishio mara ooh Chelsea wamesogeza mabango ili wasiwe wanarusha vizuri Baada ya game kuisha wamekaa kimya Kama sio wao PSG kwenye ubora wake kabisa kakandwa vizuri tu yeye nani? Team zinakuwa Bora ikiwa haujakutana na Chelsea na hapo Palmer hajacheza kabisa, sisi tumemkosa beki wetu Bora kabisa Colwil na still matokeo tunapata
 
Nje ya UK Arsenal imeshinda makombe ambayo hayana umuhimu kama hilo la Club World Cup. Ninaweza nikakutajia ila itakua haina maana.

Umefurahi au una spinning mpya?
Sitak ngonjera, taja kombe moja
 
Kwani na nyie arse8 asaniWali munaupigia hesabu ubingwa???
 
Hongera gunners, wiki ilikuwa na mechi ngumu mno, spurs, Bayern Munich, Chelsea...
Siyo timu nyingi zingeiweza .
Kweli siyo kweli?!
Sasa nimeelewa. Jana was a worse performance kwa upande wangu. Arsenal uwe pungufu isikukalie kooni. Lkn jana walikuwa wapo wapo tu.
 
Tukubali tu kwamba sisi arse8 tulitegemea kushinda Jana baada ya red card ya Caisedo lakini hawa Chelsea wametu surprise kweli kweli.
 
Mara nyingi sisi arse8 huwa tunacheza pira la mdomoni, ukija ground tunatapata tuu
 
Ndio maaana tunafanya vizuri kila msimu na hatubebi makombe πŸ˜©πŸ˜©πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜©
 
We're loosers, Gaygooners fc, false hopers ...Sisi arse8 ni fungu la kukosa siku zote ..

Mtoto wangu anatimiza miaka 20 hajawahi kuona arse8 ikibeba EPL wala UEFA au hata EUROPA ..hii ni aibu kweli kweli ..
tunabeba tu vikombe vya mbuzi ..huu ni ulofa wa hali ya juu.
 
Timu kama Chelsea ya juzi juzi tu hapo ..2005 hivi ina makombe yote ya ulaya na dunia kwa ujumla.

Ila hii Arse8 a.k.a AsaniWali ni mwendo wa kununua magarasa kutoka Chelsea na kununua wachezaji kwa hela za mafungu.

Hatuna kingine tunajua kabisa..

Huyu Chelsea atatu surprise musimu huu
πŸ˜©πŸ˜©πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜©
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…