Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo mechi hawatoki Mzee, tia laki utaniambia

Hawana defence ya kusa stain msako na mbinyo

Kumbuka Ø,Gyko ,Jesus na martinell ndani ya nyumba

Anakosekana Magalhaes tu ,
 
Eze 9.7 approaching to perfection

Odegard sasa sijui itakuaje?
 
ila game ya bayern naona kama itkuwa vyema arteta awapumzishe saka, eze na trossard then martinelli, ode na madueke wakichafue siku hiyo, hizo silaha azipumzishe kwa ajili ya game ya chelsea mana game ya bayern naona kama sio lazima sana tushinde japo najua bayern hawana timu ya kutufunga saiv.
 
Ila waafrika tuna shida. Dakika ya 13 unampiga mchezaji wa timu yako mwenyewe halafu unagewa red unawaacha wenzako pungufu.

Hapa ndiyo nasema bahati muhimu. Timu gani itacheza na Arsenal halafu itajitafutia red makusudi?
 
Timu wanayo. Utajionea
 
Ila waafrika tuna shida. Dakika ya 13 unampiga mchezaji wa timu yako mwenyewe halafu unagewa red unawaacha wenzako pungufu.

Hapa ndiyo nasema bahati muhimu. Timu gani itacheza na Arsenal halafu itajitafutia red makusudi?
Ninachoshangaa ni kuwa hawa everton bado wanaonana na wanafungua vyumba vizuri tu

Hadi dakika hii 45, nyumbu ndio amekufa moja bila ingawa everton wamepata red ya mapema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…