Mwaka huu wenu mshindwe tu wenyewe. Jana liverkuku majogoo wamewekwa 3, Mancity pia kapakatwa....mna room nzuri ya kushinda ubingwa mwaka huu. Sisi Chelsea tunawasindikiza tu. Ili na nyie mpate hata kidogo mfurahie kuchukua makombe makubwa na si hayo ya kunywea uji.
Kwa miaka mingi mechi aina hii ambayo wapinzani wetu wengi wamepoteza mechi zao tunapotakiwa kushinda tuwaruke zaidi mara nyingi tumekua tukipoteza alama ata hii ya leo ikitokea sitoshangaa. Japo ni matarajio yangu timu ipambane kama fainali na kushinda