Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndugu yangu kama ni mfatiliaji wa EPL basi hautabishana na mimi.

Mechi za chini ya sa10 zina mazonge sana ila ukiona timu kubwa inamuendelezo mzuri wakushinda game za chini ya saa10 basi ujue ni dalili za ubingwa.
Hakuna mechi ambazo zinawaliza wakamalia kama mechi za saa 8 siku ya jumamosi..
 
Hivi huwa mnashiriki ligi ili mmalize nafasi ya pili au huwa inatokea bahati mbaya tu?
Unajua mmemaintain nafasi ya pili hadi nashindwa kuamini kama ni makusudi au bahati mbaya kwenu!
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€
 
Wakati huo ode kaumia tayari..
Huyu asipokaza makalio....mwakani atauzwa...Babu yake Arteta hatamteteA...yule Andrea Berta hataki ujinga....Martinelli msimu ujao anaondoka....Kila dalili inaonekana...project imeshamuacha tyri....Semenyo anakuja msimu ujao kuchukua nafasi yake....
 
Madueke akikamata vibonde wenzake anageuka Prime HazardπŸ˜…πŸ˜…
Kule Chelkenge alikuwa anacheza na wafukuza upepoπŸ˜€πŸ˜€...huku atacheza kwa ku enjoy sana....yaani bolu linapigwa mpk mpinzani ukifungwa unakuwa huna malalamiko....sisi na Chelsea lini kwani....maana ugomvi wetu haujaisha bdo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…