skelly kuwa inverted fullback imekuwa na athari hasi zaidi kwa timu hasa inapopoteza mpira ,kasi hana ya kurudi kwenye eneo lake na pia wkt mwingine anajisahau mno yupo eneo gani uwanjani ,atafaa zaidi endapo haya mambo ya ku invert asipewe yeye.I was thinking the same. Cala ana ukabaji wa kushika, pia anatumia nguvu zaidi kupita kiasi.
Naona Skelly atafaa zaidi maana aliwamudu vizuri PSG na zile winga zao sumbufu.. pia Skelly yuko comfortable zaidi akiwa na mpira, na ni ball carrier mzuri kwenye 3-2-5 transition.
Nimeangalia Maturity, binafsi nampa calafiori kuanzaCalafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.
Kwangu Kiwior angebaki.Bora mwamba arudi asaidiane na Gyok. Kisha tupunguze dead woods.. the likes of Fabio, Nelson, Sambi, Kiwior should go. And i hate to say that Zinny should go too japo namkubali sana ila itakua sio nzuri kwake maana hatopata game time anayotaka.
Na ndo kilichomkutaLeads apigwe 5 kavu
Nakuunga mkono na mguu.Kutokana na injuries za Saka na Ø, pale Anfield tuanze na hii
Eze, gyokeres, Madueke (wapya wote)
Merino, Rice, Zubimendi
how do you feel abt this?
Flano naomba unisaidie kunitunzia hii text mkuuCoventry, Swansea, Brighton kote hewa !
Kaenda farmers league kafunga magoli mkaenda kubeba mazima,,,, ! Kwa umri huu ndo anatakiwa awe kwenye peak ! Wacha tuone hawezi funga 20+ goals EPL ,,, japo atakuwa penalty taker
Hii Jesus ni mfanyakazi hewa.Tumekuwa na majeruhi paka tushazoea, kiasi kwamba hatuogopi kitu
Uefa tumecheza na ST Merino, Gabriel kitasa alikosa dhidi ya madrid & psg, hii ndio sababu sina hofu na majeruhi msimu huu
paka sasa tuna Jesus, havertz, white, saka na Ø kwenye ward ya wagonjwa
Dhidi ya liverpool tutacheza anyhow na sioni tukifungwa, wamejitahidi sn draw
Edu ajifunze kwa hii mtu.Andrea Berta akiamua game na Liverpool atakuwepo kwenye starting 11
View attachment 3451564
Martinell huwa aa bahati sana game na liverpool madueke asubili kwanzaKutokana na injuries za Saka na Ø, pale Anfield tuanze na hii
Eze, gyokeres, Madueke (wapya wote)
Merino, Rice, Zubimendi
how do you feel abt this?
Siamini kama walikuwa hawawaoni wachezaji wazuri, nahisi wamiliki wa timu wamebadilika na kuamua kutafuta makombeEdu ajifunze kwa hii mtu.
Zile dili zao na Arteta kwa kina Sambi hapana aisee.
Si mbaya saaanaa. Kuna ka interlull hapo kati pia. Tumpe hata 8 weeks arudi akiwa vizuri kabisa.Saka set to miss up to four weeks through injury
Kaka wamiliki wamejirekebisha muda sana tangu Arteta apewe timu.Siamini kama walikuwa hawawaoni wachezaji wazuri, nahisi wamiliki wa timu wamebadilika na kuamua kutafuta makombe
Benjamin muhuni White anarudi wiki hii...kule kulia acheze yy halafu kushoto acheze Timber Huwa anacheza ule upande....kule yule Salah akakutane na kile kigingi....Calafiori hii mechi akae nje....huo ugomvi haumuhusu.....Kuna gemu pale Emirates Tomiyasu aliwahi kuchezeshwa kule kushoto akawa anatembea na Salah yule mjinga hakufukuta...Arteta anatakiwa arudie hili sualaCalafiori atasumbuliwa na mbio za Salah. Lewis-Skelly angefaa zaidi ila bado hajatoka kwenye mood ya likizo.
Huyu bwana mdgo anajua kwlikwli....Kiwior apige bunda na Zincheko naye aondoke....aje yule dogo😀😀😀...Piero Hincapie,matajari wa arsenal safari mbona siwaelewi kabisaaa chuma kipya hicho