aise odegaard inabid abadirike sana,msimu huu siko emotional kabisa,najitaid kudeal na detail,ila kwa nilivyoina liverpool arsenal tunakazi sana.liverpool karibu wachezaji wote wanafunga.arafu nashangaa salah hakabwi sana kama saka.ule upande wa martinel ule ndio unaendelea kutucost msimu baada ya msimu.kama arteta hajajua kushinda mechi za timu ndogo anatoa droo za kijnga hatuwez kuwa mabingwa