Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mosquera £18m, akija pale unyumbuni ni panga pangua, ila unakutana na yoro na magwaya combine ya manyumbu usajili wa million 200
 
Saivi hatuongei sana.....me nitakesha hapa jumapili.

Ni muda sasa wakuonesha.
Kwa heshima ya mpira naona jumapili itakuwa mechi ngumu.
Yaan united ya sasa sio ya zamani.

Nyie passing attack muko vizuri, sie counter attack tuko vizuri
 
mosquera £18m, akija pale unyumbuni ni panga pangua, ila unakutana na yoro na magwaya combine ya manyumbu usajili wa million 200
Tajiri na maskini siku zote matumizi yao hayawezi kua sawa, maskini ataenda kununua nyanya gengeni fungu la kilo 1 kwa shilingi 1000 halafu tajiri anaenda kununua nyanya hiohio supermarket kilo moja kwa shilingi 10,000/-
Arsenyau kabla ya kutaka kufananisha matumizi yetu na yenu hebu jiulizeni kwanza, je mapato yenu na yetu yanafana?
 
We jamaa wewe.
 
  • Real Madrid has 105 total trophies
  • Barcelona has 103 total trophies
  • Manchester United has 68 total trophies
  • Liverpool has 68 total trophies
  • Arsenal has 48 total trophies
  • Chelsea has 36 total trophies.
 
Muda sio mrefu kutakuwa na meme mpya ya phase 1 ya Thomas Frank ana kombe kubwa Ulaya dhidi ya phase 6 za arteta mshika nafasi ya pili king'ang'anizi
Sema Chelsea mliwapa mbinu nzuri tu Spurs ila mkasahau kuwafundisha kushikilia bomba.
Ila Thomas Frank nae kazingua sana kwa subs zake za kipumbavu, alivyomtoa Kudus na Palhinha na kuwaingiza Gray na Mathys Tel ndio akawapa nguvu Psg ya kuwapelekea moto vizuri.
 
Haya maneno yako yatakucost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…