mosquera £18m, akija pale unyumbuni ni panga pangua, ila unakutana na yoro na magwaya combine ya manyumbu usajili wa million 200Kuna yule ngongoti wa Psg Donnarumma wiki ya pili sasa kagoma kula anataka asajiliwe Manchester, naona kamati ya usajili kwa sasa nguvu nyingi wanazielekeza kwanza kwa Baleba, wakishakamilisha dili la Baleba goli kipa la mikono 100 linatua Trafford.
Hawa Kokores Fc washukuru sana tunacheza nao kabla ya hio miamba miwili haijatua Utd la sivyo tungewapeleka tena honeymoon ya goli 8 nyingine. View attachment 3438915
mosquera £18m, akija pale unyumbuni ni panga pangua, ila unakutana na yoro na magwaya combine ya manyumbu usajili wa million 200
We jamaa wewe.Tajiri na maskini siku zote matumizi yao hayawezi kua sawa, maskini ataenda kununua nyanya gengeni fungu la kilo 1 kwa shilingi 1000 halafu tajiri anaenda kununua nyanya hiohio supermarket kilo moja kwa shilingi 10,000/-
Arsenyau kabla ya kutaka kufananisha matumizi yetu na yenu hebu jiulizeni kwanza, je mapato yenu na yetu yanafana?
Absolutely, but Eze Is a goonerCould Spurs' interest in Eze help to speed up the deal?
Hiyo meme ipo wapi ?Muda sio mrefu kutakuwa na meme mpya ya phase 1 ya Thomas Frank ana kombe kubwa Ulaya dhidi ya phase 6 za arteta mshika nafasi ya pili king'ang'anizi 😂
Vipi iyo meme tayari unitumie?Muda sio mrefu kutakuwa na meme mpya ya phase 1 ya Thomas Frank ana kombe kubwa Ulaya dhidi ya phase 6 za arteta mshika nafasi ya pili king'ang'anizi 😂
Hiyo meme ipo wapi ?
Hii haiondoi kuwa nyie hapo London hamna kombe wakati wenzenu wana makombe 😂Vipi iyo meme tayari unitumie?
Tujifunze nn ? 🤣🤣🤣🤣🤣 yaan timu bado dk 5 wawe mabingwa .. wanapoteza alaf unasema tujifunzeWatu wa hii timu jifunzeni hata kutoka kwa spurs..
Ndo meme ya jana iyo kumbeHii haiondoi kuwa nyie hapo London hamna kombe wakati wenzenu wana makombe 😂
Anyway, kwa sasa tuendelee kutumia hizi
View attachment 3440802
View attachment 3440803
Ila kwa huu mwaka Tot ana Europa Nyie Mna kombe gani?Tujifunze nn ? 🤣🤣🤣🤣🤣 yaan timu bado dk 5 wawe mabingwa .. wanapoteza alaf unasema tujifunze
Always London is RED
Tot watatumia meme za chelsea mana wote wana makombe makubwa Ulaya, vp nyie mna kombe gani?Ndo meme ya jana iyo kumbe
Wakirudi unishtue🤣🤣🤣1 WCC Trophy = 50 (FA, Carabao, Community Shields) Trophies
Muda sio mrefu kutakuwa na meme mpya ya phase 1 ya Thomas Frank ana kombe kubwa Ulaya dhidi ya phase 6 za arteta mshika nafasi ya pili king'ang'anizi
Haya maneno yako yatakucostMimi nawakumbusha tu na wala sina lengo la kuwatisha, Benjamin Šeško yule ni Haaland mtupu, tena Šeško amemzidi Haaland kwenye kasi, dribble na shot power.
Haaland ni striker ambae mpe assist anakuhakikishia goal lakini Šeško yeye anakupatia vyote.
Šeško ana uwezo wa kutokea kati au pembeni, kiufupi unaweza kusema Šeško ni mchezaji wa kaliba ya kina Sergio Agüero, Fernando Torres yule wa Liverpool au Eden Hazard wa Chelkenge.
Sasa kwa ile mi assist ya kina Bruno, Cunha, Amad na Mount sioni pahala pa kukwepea hatrick hiyo siku ya jumapili.
View attachment 3439131