Wazee kuna MUDYK kwa sasa ana changamoto za matumizi ya kuvuta bangi, soon atarudi uwanjani. Lipeni pesa mchukue hiyo mashine ya kasi. Acheni ubahili basi
Dah ila Man u wamechoka yani, eti wanajibembeleza hadi kwa Sesko kisa Newcastle, Gyokeres amewaumiza mno, usishangae Sesko akawasanifu afu atimkie Newcastle ili baadae ajiunge timu bora.
Gyokeres kwa MAN U ni kama mwanaume mwenye hela kumkataa demu mbaya, sasa kwa Sesko man u wanajikomba ni kama demu low IQ kumwambia mwanaume mwnye hela na smart kuwa ukinioa ntakupikia, ntakufulia n.k wakati mwanaume huyu ametanguliza brain kwanza.
Dah ila Man u wamechoka yani, eti wanajibembeleza hadi kwa Sesko kisa Newcastle, Gyokeres amewaumiza mno, usishangae Sesko akawasanifu afu atimkie Newcastle ili baadae ajiunge timu bora.
Sesko sio striker hatari ni wakawaida Nicolas Jackson ni Bora kuliko sesko. Sesko ni striker anakuwa na moment nzuri lakini Hana ile consistency performance na ndio maana simuhofii kwenda Man u