Eze mimi bado simuoni kama winga. Hapo kwake nawaweka wanangu kina Trossard na Martinelli na hata Madueke kama kawa. Yeye anaingia kama sub ya Odegaard, Ode akishachoka dk ya 75 huko kumalizia timu.Tutapiga kila atakaesimama mbele yetuView attachment 3420849
Kama Eze akitua basi moja kwa moja ni starting 11 yupo arteta atajua madawa anayapika vipiEze mimi bado simuoni kama winga. Hapo kwake nawaweka wanangu kina Trossard na Martinelli na hata Madueke kama kawa. Yeye anaingia kama sub ya Odegaard, Ode akishachoka dk ya 75 huko kumalizia timu.
Tutapiga kila atakaesimama mbele yetuView attachment 3420849
Ukisikia utani wa ngumi, ndiyo mambo kama haya sasa π πMsimamo wa ligi 2025/2026
1.
2. Arsenyo
3.
4.
5.
6.
Msimamo wa ligi 2025/2026
1.
2. Arsenyo
3.
4.
5.
6.
Oya hamis umemuacha wapi!!?? Njooni nyote muda wenu unakaribia1. Arsenal
2.
3.
4
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15. Nyumbu
16.
17.
Tutapiga kila atakae simama mbele yetu alafu kombe tutawapa nyumbu
Mchambuzi nguli mbona yupo sana na safari hii mfanye nae mazungumzo ya amani mapema.Oya hamis umemuacha wapi!!?? Njooni nyote muda wenu unakaribia
Flano mzee wa kufukua makaburi, naomba umtumzie mkorea hii risiti. Ili mda wa kuwakera ukifika, wakumbushwe kupitia kauli zao za vituko kama hii post ya mkorea.Tutapiga kila atakaesimama mbele yetuView attachment 3420849
Ndio kawaida yakeNaona unampa material maktaba kuu Flano.
chat gpt anajaribu kuchambua mambo kuna namna admin wa chat gpt ni arsenal fan au hujamaa mkorea ndio anaiendesha chat gpt1. Arsenal
2.
3.
4
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15. Nyumbu
16.
17.
Tutapiga kila atakae simama mbele yetu alafu kombe tutawapa nyumbu
Mpira ni mchezo wa wazi mkuu na Hauhitaji ramli au tabiri za wanajimu wakuambie kwamba msimu huu arsenal ni shidachat gpt anajaribu kuchambua mambo kuna namna admin wa chat gpt ni arsenal fan au hujamaa mkorea ndio anaiendesha chat gpt
inatabiri crown arsenal
Mpira ni mchezo wa wazi mkuu na Hauhitaji ramli au tabiri za wanajimu wakuambie kwamba msimu huu arsenal ni shida
View attachment 3421694
Mkuu umekuja kufanya nini katika huu uzi πππHatimaye arsenyeto mmepata bahati ya kushuhudia medali ya kombe la dunia π
Arseanal wajanja sana, yaani wao ukishachukua medali za makombe mbalimbali basi wao wanakuchukua kidogo waweke kwenye kumbukumbu zao...washachukua madueke na CWC medal, harvets na uefa medal, Glock na Portugal medals, zubmend na uefa nation league medal.
Oya arteta akili sana, arteta akili mingi mingi
COYGUsisahau na kombe lao la Pre-season tayari wameshabeba, hivyo kina Tetea Kiwigi hawana deni lolote kwa mashabiki wa Arsenyau. View attachment 3423088
πππ Arsenal inadhihirisha uwepo wa Mungu...yaani jamaa Wana furaha na makombe hawachukui, Mungu kawabariki mioyo ya ajabu sio kama sisi binadam wa kawaidahamis77 anakwambia kwa sasa yuko bize sana na taasisi yake ya Masingeli Integrated Investment Co. LTD
Unaweza kumuona yupo online kumbe anayeendesha akaunti ni Secretary au Supervisor wake.
Kwa sasa mwamba yuko bize sana na majukumu ya kujenga Taifa
Anasema kwa sasa hili jukwaa amewamilikisha chawa zake mkorea na arsenal2004 waendeleze false hope.