Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Humu ndani mna taarifa za Saliba kuitaka Madrid au mnajisahaulisha tu?
Ujio wa Mosquera ni replacement ya Saliba kama mlikuwa hamjui, tafuteni taarifa zaidi.
 
We are cooking slowly but sure mkuu.
Unaambiwa Gyokeres alikuwa anataka kujileta matofalini, Amorin akamwambia haendani na mfumo anaotaka kuutumia msimu huu, ndio jamaa kukomaa na arsenal uko.
Mimi niliambiwa jamaa alitaka sana kuja kucheza na Amorim ila ile fainali ya Europa aliyoshinda Spurs ikaharibu kila kitu.

Jamaa anataka Champions League na umri unazidi kwenda... 😀 😀

Akaona bora Arsenal.

Tetesi ni nyingi ila nafikiri yeye amependa tu kumalizia soka lake akiwa Arsenal.
 
Tumevuta chums kingine kutoka Valencia kinaitwa Christhian Mosquera
Mjitahidi sana msimu huu kutokumaliza ligi kwa kuitwa Netflix arsenal. Msimu mpya wa ligi ukianza mjue mpinzani wenu mkubwa ni Liverpool na isak keshawambia Newcastle management kuwa anataka kwenda Liverpool.
 
Kwa hiyo amekuja Arsenal kushinda Champions legue? Kwenye medical check up, mlimpima na akili?
 
Kwa hiyo amekuja Arsenal kushinda Champions legue? Kwenye medical check up, mlimpima na akili?
Maneno ya mtaani ni kuwa alitamani kuendelea kushiriki Champions League. Kushinda ni majaliwa.
Ila hayo ni maneno tu ya mashabiki. Huenda ukweli ni kwamba yeye ndoto yake ni kuichezea Arsenal na hakuwahi kutaka kuichezea United.
 
Nwaneri na Dowman ni next level kids, mliokuwa mnaponda mmeanza kujionea kwa macho. Hale End graduates wanafananishwa na La masia sio takataka zingine, hata Man u wakiona mtoto wa hale end wanachanganyikiwa, sio Chido na ayden wanapata nafasi united? Saka, MLS, Nwaneri na Dowman, hapa Hale end imesave zaidi ya £200m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…