We are cooking slowly but sure mkuu.Fanyeni sajili aisee. Ohoooo. Tusije kulaumiana Agosti
Kama jamaa kapewa namba 20, huyu starter kabisa nyie orphans.Tetea Kiwigi mwenyewe anasajili kwa ajili ya top 4 nyie munawalazimisha ubingwa.
Kwa hio nyie ndio mnajiona mnaakili sana kuliko Kiwigi sio? View attachment 3416790
Acha basiWe are cooking slowly but sure mkuu.
Unaambiwa Gyokeres alikuwa anataka kujileta matofalini, Amorin akamwambia haendani na mfumo anaotaka kuutumia msimu huu, ndio jamaa kukomaa na arsenal uko.
Hizo ni za ndani sana mkuu tena tangu february na zilizimwa haraka ili kumtunzia heshima jamaa.Acha basi
Yale yale mambo ya Trent yatatukuta. Tumeona tujitahidi kutafuta mwingine mapema.Humu ndani mna taarifa za Saliba kuitaka Madrid au mnajisahaulisha tu?
Ujio wa Mosquera ni replacement ya Saliba kama mlikuwa hamjui, tafuteni taarifa zaidi.
Mimi niliambiwa jamaa alitaka sana kuja kucheza na Amorim ila ile fainali ya Europa aliyoshinda Spurs ikaharibu kila kitu.We are cooking slowly but sure mkuu.
Unaambiwa Gyokeres alikuwa anataka kujileta matofalini, Amorin akamwambia haendani na mfumo anaotaka kuutumia msimu huu, ndio jamaa kukomaa na arsenal uko.
Mjitahidi sana msimu huu kutokumaliza ligi kwa kuitwa Netflix arsenal. Msimu mpya wa ligi ukianza mjue mpinzani wenu mkubwa ni Liverpool na isak keshawambia Newcastle management kuwa anataka kwenda Liverpool.Tumevuta chums kingine kutoka Valencia kinaitwa Christhian Mosquera
Liverpool itakuwa yamoto sana msimu ujao. Tutaenjoy sana kuwafunga.Mjitahidi sana msimu huu kutokumaliza ligi kwa kuitwa Netflix arsenal. Msimu mpya wa ligi ukianza mjue mpinzani wenu mkubwa ni Liverpool na isak keshawambia Newcastle management kuwa anataka kwenda Liverpool.
Kwa hiyo amekuja Arsenal kushinda Champions legue? Kwenye medical check up, mlimpima na akili?Mimi niliambiwa jamaa alitaka sana kuja kucheza na Amorim ila ile fainali ya Europa aliyoshinda Spurs ikaharibu kila kitu.
Jamaa anataka Champions League na umri unazidi kwenda... 😀 😀
Akaona bora Arsenal.
Tetesi ni nyingi ila nafikiri yeye amependa tu kumalizia soka lake akiwa Arsenal.
Hizi story za Saliba kuhusishwa kuondoka nyie mmezitoa wapi?Tukiangalia kwa mbali ni kama saliba alishafanya maamuzi ya kuondoka.
Maneno ya mtaani ni kuwa alitamani kuendelea kushiriki Champions League. Kushinda ni majaliwa.Kwa hiyo amekuja Arsenal kushinda Champions legue? Kwenye medical check up, mlimpima na akili?
Kwa sasa mpe Berta miezi kadhaa aongee nae. Kuna mpango wa kumuongezea mkataba. Huenda akakubali.Na kwa tabia ya Madrid huenda alishalishwa sumu kimyakimya
Tetesi tu kwa sasa kwa sababu tuko mbioni kumpa mkataba mpya na kila mtu anajua Real Madrid inamtakaHizi story za Saliba kuhusishwa kuondoka nyie mmezitoa wapi?
asije kufia ghetto