Mjusi_kafir
JF-Expert Member
- Dec 4, 2023
- 296
- 513
Sio kwamba hawajui wanachokifanya, na hata wao wanajua wanahitaji Top CF, deal la madueke limekamilika na dili ya Gyokeres litakamilika kwan kati yetu anajua Bajet ya Arsenal msimu huu ni kiasi gani???.arsenal katoa ofa ya paun 50m kwa noni, Chelsea kataka zaidi.
wakati huo arsenal bado haja msajili gyokeres, arteta ni mwehu kudadadeki
Wewe ume Anza kuishabikia arsenal Mwaka gani?, punguza hopes na hii timu ku blunder ndio kipaji chake Kikubwa dunia nzima.Sio kwamba hawajui wanachokifanya, na hata wao wanajua wanahitaji Top CF, deal la madueke limekamilika na dili ya Gyokeres litakamilika kwan kati yetu anajua Bajet ya Arsenal msimu huu ni kiasi gani???.
Am done
We fala unakeraaaaaaaππππMkuu usikate tamaa, Madueke yule ni Yamal mtupu, tofauti yao ni nywele na komwe tu.
Madueke misimu yake miwili tu chini ya Masterclass Tetea Kiwigi anabeba Ballon d'Or.
π€£π€£π€£ cheki hii Wenger orphans ipo serious kuliko club yakeSidhani kama tuna mpango wa kumchukua Noni kiukweli mpaka sasa. Tutakuwa tunacheza hangaisha bwege na watu halafu tunachukua mchezaji mzuri ambaye hakuna mtu anajua tunaongea nae mpaka msikie tu tumeshamsajili. Kama tulivyofanya na dili la Norgaard.
Binafsi nimeishiwa maneno.madueke kabisa?
Nahisi something is going on between Chelsea and arsenal top management.
Mimi sio kocha ni sawa
Mimi sio mmiliki ni sawa
Mimi silipii kadi ya uanachama ni sawa
Mimi silipii kiingilio ni sawa
Mimi sinunui Jessy original ni sawa
Mimi Sina mchango ni sawa.
Ila huu ni ujinga tena zaidi ya ujinga.
Hakuna mchezaji aliyetoka Chelsea akaja kwetu akadeliver constructively.
Gallas,William,peter zcheck,yos benayoun,mbuzi Kai harvets, hawa kunguru wote came to retirement mode klabuni kwetu.
Sasa naanza kuamini uchawi upo.ngoja nijipe muda
Usajili wa Gyokeres upo mjia panda.
Usajili wa Olivia Smith nauunga mkono. Yule dada ni fighter, lakini wangemleta Vicky Lopez ningefurahi zaidi ingawaje najua hayupo kwenye mipango yao. Muangalie leo, najua ataanza
Kujifanya uko serious na arsenal ni kujitafutia maradhi ya moyo..Wewe ume Anza kuishabikia arsenal Mwaka gani?, punguza hopes na hii timu ku blunder ndio kipaji chake Kikubwa dunia nzima.
Waulize kina makaveli10, HENRY14, mkorea na hata Flano hii arsenal sio ya kuisemea kudadadeki π π
Huyu kuna switch kama 3 hivi kichwani mwake, zikikatwa na kuungwa direct, anaweza kuwa mchezaji mzuri.Gyokeres hio Β£90m utatoa wewe?
Arsenyo baada ya kumalizana na Noni Yamal Madueke kituo kinachofata ni kwa Super striker Nicolas Aguero Jackson a.k.a The Beast. View attachment 3401566