ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 710
- 873
Ma striker Waafrica waaojua kwa kizazi hiki cha karibuni ni Drogba,E'too, Auba,Mane ila wengine wengi Maajabu msimu mmoja misimu mingine wanaanza kuflopKwanini Arsenal hawakutuma ofa kwa Victor Osimhen?
Angechukuliwa Osimhen ungemind?Ma striker Waafrica waaojua kwa kizazi hiki cha karibuni ni Drogba,E'too, Auba,Mane ila wengine wengi Maajabu msimu mmoja misimu mingine wanaanza kuflop
Osimhen ule msimu wa Napoli akawa top scorer sijui kama utajirudia tena kwenye career yake ya soka...angemchukua Osimhen ninge mind maana Osimhen angetusaidia kushinda mechi sio kushinda makombeAngechukuliwa Osimhen ungemind?
Eze itategemea dili la kuuzwa kwa Martinelli na Noni inategemea na msimamo wa Nwaneri ikiwa Nwaneri atabaki Noni Deal linakufa au kama atatolewa kwa mkopo Noni atakujaMastori ya Noni yamezikwa na mastori ya Gyokeres.
Mastori ya Eze yalizikwa na mastori ya Noni.
Siamini kama Martinelli anauzwaEze itategemea dili la kuuzwa kwa Martinelli na Noni inategemea na msimamo wa Nwaneri ikiwa Nwaneri atabaki Noni Deal linakufa au kama atatolewa kwa mkopo Noni atakuja
Ndio kufeli kwenyewe huko, tusitafute excuse, alifeli.Nakusahihisha Salah hakufeli Chelsea Bali alikosa namba kwasababu kwenye nafasi yake alikuwa anacheza Willian alikuwa wamoto sana ndio maana hakawa hapati nafasi ya mara kwa mara.Ukisema kufeli maana nikushindwa kudeliver but kwa Salah pamoja nakuwa mara nyingi anaingia sub but huwa ana deliver kizuizi kwake ilikuwa namba anayocheza anacheza Willian
Hamna kitu mleOsimhen ule msimu wa Napoli akawa top scorer sijui kama utajirudia tena kwenye career yake ya soka...angemchukua Osimhen ninge mind maana Osimhen angetusaidia kushinda mechi sio kushinda makombe
Na sisi tunataka si chini ya paund 50m kwa noniMastori ya Noni yamezikwa na mastori ya Gyokeres.
Mastori ya Eze yalizikwa na mastori ya Noni.
Nilijua tu Maktaba kuu Flano akiiona tu hii post lazima atakuja na maneno mengi.
Sio kufeli kwani kipindi fabregas yupo Barca akawa hapati namba ya mara kwa mara kwani alikuwa mmbaya au ni kwasababu nafasi alikuwa anacheza ilikuwa ni ngumu kupata namba baada ya kuamia Chelsea akawa top assist. Kukosa namba sehemu Kuna sababu kuu mbili moja ni kusidiwa uwezo, mbili preference ya kocha kulingana na mfumo wakeNdio kufeli kwenyewe huko, tusitafute excuse, alifeli.
Endeleeni kutaka wanetuNa sisi tunataka si chini ya paund 50m kwa noni
arsenal tume bakiza cb mmoja tumalize kazi, eze naye aje, saka apunguze majerahaNacheka sana nyumbu wanavyogombana kisa kutosajili
Nyumbu imekua middle team kwaio inahitaji middle team players kama wakina Mbeumo,Cunha,Wissa na wachezaji wanaofanana na hao.Nacheka sana nyumbu wanavyogombana kisa kutosajili
Na hata wakina Mbeumo kwenda hawatakiNyumbu imekua middle team kwaio inahitaji middle team players kama wakina Mbeumo,Cunha,Wissa na wachezaji wanaofanana na hao.
Na uhakika hiyo hela mtatoa Kama mliweza kwa Kai ambaye msimu mzima kwenye mashindano yote alikuwa ana goals 10 itashindikana vipi kwa noniEndeleeni kutaka wanetu
Kwani Noni ana magoli mangapi?Na uhakika hiyo hela mtatoa Kama mliweza kwa Kai ambaye msimu mzima kwenye mashindano yote alikuwa ana goals 10 itashindikana vipi kwa noni
Ni mwanzo wa July. Siyo muda wa kujistress sana japo timu zinaweza kuonekana kama hazifanyi kitu. Huku kwetu sisi wenyewe tulikuwa tunastress na bado tunastress kuhusu sajili. Hata pale tulipojua tumeshamchukua Zubimendi, watu walipata wasiwasi kuwa Madrid wanaweza kumchukua. Watu walibidi wahakikishiwe kuwa jamaa tumempata May ila hatutamtangaza mpaka July kwa sababu za kifedha ila haikusaidia sana kuwapa amani. Na mpaka sasa bado tunastress maana kama mashabiki tunataka tuwe tumeshamaliza kusajili na kuuza wachezaji ili tuwe tuanawatambia na kuwapiga biti akina Nyumbuz na Chelkenge na kuwaonya wasiingize timu uwanjani ila hatuoni hizo sajili mapema...Nacheka sana nyumbu wanavyogombana kisa kutosajili