Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Barcola na Doue walikua wanauzwa 50M.

Leo unatoa 50M kwaajili ya bench warmer
Mbona kijana unanongwa uzuri wa Madueke ni Kama sterling huwa wanaamua game zakucheza vizuri na unaweza ukasema huyu ndio Messi sasa kwenye hizo game chache atawasaidia
 
Chelsea huwa hauzi magarasa yake mbali na London, anajua sehemu ya kuwapeleka pindi wakishindwa kufit kwenye mfumo wake.
No one saw this coming! Unakataa kumuongezea Octopus £50,000 unamleta Madueke akupe EPL!

Kama chelsea sio wachawi basi Arsenal huwa wanapenda kitenga sana.
 
Hamjapanga hata mikakati ya namna ya kutoshuka daraja ila mmekalia tu ya Arsenal. Nyie hayaa 😂
 
Arrizabalaga

Zubimendi

Nørgaard


Gyökeres

Mosquera


Rodrygo

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Eze

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Madueke


Andrea Berta is cooking.
Arsenal Football Club will be unstoppable next season
 
Mmeanza tena kutustua mioyo yetu bila sababu za msingi mkuu.
 
Tunaongeza takataka 🤣😂
 
Sesko Sesko is the thing, Jaribu ku imagine front three Saka, Sesko, Eze/ Rodrygo! moto mkali sana.

Sesko ceiling yake ni kubwa afu uzuri ukiwa na sesko, saliba, saka, Rodygo, Rice tayari unaunda timu ya masuper star wanaojua mpira unafuata nyayo za Real.

Huyu dogo Sesko sikuwahi kumfutilia ila niliona some comps nikasema this is a real ST, anakimbia mno runner in behind, aerial prowess maanake tunakuwa na threat ya huyu, Merino, Maghales na Nogaard kwenye kona, sesko pia ana ball striking sio ya nchi hii, link up & hold up play ala kai harvertz lakini pia yupo technical ni ST ambaye yupo full package.
 
K Katika jambo nilicheka na kuona hatuko serious ni kwenye usajili wa LUIS SUAREZ. 🤣😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…