KWENYE RHYTHM SIO!!!!!!
Rhythm ganiπππ unajua arsenal fans huwa mnaleta raha sana yaani mpo kwenye rhythm ndo makombe yenu hayo .
Rhythm peleka kwenye ngoma huko huku kwenye mpira ni trophies basi, tukiwaambia nyinyi ni kikundi cha ngoma mnabisha ona sasa ushaanza kuleta mambo ya ngoma huku.
Huwezi kuta fan wa Chelsea, man city , Newcastle, Liverpool , man utd Leicester na hata westham wanaongelea mambo ya rhythm π₯π ni wataongelea drogba alivyopiga tuta la mwisho, rodri alivyopiga ile bomba ikazama, mahrez na vard walivyokua wanasumbua, slot alivyonyanyua kombe , van der saar alivyochomoa tuta la anelka, rice na moyes walivyonyanyua kombe au isak alivyopiga kamba ya pili hizi zote ni story za makombe.
Wewe unaleta mambo ya ngoma tena kwenye football
rhythm maana yake siyo muziki. Kama unaheshimika huko ulipo usije ukarudia hiki ulichoandika, watu watahisi elimu kisoda kumbe ni mjinga by choice.