Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We jamaa ni mwehuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΏ
 
Nimelia sana😹😹😹
 
Kwa namna ambavyo wameshinda nafasi ya mshindi wa 2 mara 3 mfululizo, wameishabweteka hawa punda. Mwakani tunawakuta nafasi za kina crystal palace uko.
Relaaax kunywa maji this is arsenal mkuu,we will win it in our ways
 
Kwa namna ambavyo wameshinda nafasi ya mshindi wa 2 mara 3 mfululizo, wameishabweteka hawa punda. Mwakani tunawakuta nafasi za kina crystal palace uko.
Kazi ya wasindikizaji ni kupanga mstari na kupiga makofi ya heshima kwa mabingwa.
Ila United jeuri sana aiseee, katika kipindi chote cha miaka 12 ya kukosa Epl hatujawahi kudharauliwa namna hii, msimu ujao itakua ni zamu yetu kupewa hii heshima, Tetea Kiwigi na Makinda yake lazima wapange mstari watupigie makofi kwenye gwaride la heshima.
Kamati ya FA msimu ujao tunaomba mechi yetu ya marudiano na Achenal iwe ya mwisho kabisa.
 
Gyokeres namuona hana mambo mengi japo magoli mengi aliyofunga anaonekana Yuko very comfortable against defenders kitu ambacho hawezi PATA kwa beki ngumu za epl
Man city aliwapiga hat trick ni mabeki wa EPL

Magoli anafunga Kai, Merino ila Gyokeres ndo atapata tabu mkuu?
 
Gyokeres namuona hana mambo mengi japo magoli mengi aliyofunga anaonekana Yuko very comfortable against defenders kitu ambacho hawezi PATA kwa beki ngumu za epl
Mimi gyo ananitia wasi wasi naona nofoward wa kawaida,timu ikibanwa sana hawez kuoffer kitu kingine,halland na uzuri wake wote man city ilivyopotea na yeye akapotea
 
Gyokeres namuona hana mambo mengi japo magoli mengi aliyofunga anaonekana Yuko very comfortable against defenders kitu ambacho hawezi PATA kwa beki ngumu za epl
Ila sajili ni kamari tu, Wacha tuone ipi ita lipa.

Ingawa naona Watkins Alisha prove kitu.
 
Kimsingi LIGI bado haijaisha kwa mujibu wa mkorea , inakuaje hamuongelei mechi za weekend ijayo mnapiga soga za usajili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…