Yaani mkaingia mkajipanga mkaanza kupiga makofi ππ , wakati si tunawapiga liverpool kuchukua carabao , nyinyi mnajipanga kupiga makofi ila arsenal fans mnatia huruma sana.
Yaani mkaingia mkajipanga mkaanza kupiga makofi ππ , wakati si tunawapiga liverpool kuchukua carabao , nyinyi mnajipanga kupiga makofi ila arsenal fans mnatia huruma sana.
Timu zote za England zinazocheza fainali mashindano ya ulaya jana zimefungwa goli 2-0, basi kwa akili ya ya Arsenyau umejua ni coincidence.
Huu ulimwengu una siri nyingi broo, kuna mambo yanawezakua planned miaka 10 huko nyuma halafu wewe huna habari.