Mwalimu mpaka sasa sina nongwa nae, ila tukubali tu tunahitaji world class palyers, namuangalia saka hapa, kisha namkumbuka yamal jana.. ni vitu viwili tofauti, huyu martineli ndio kabisaaa...
Game inashindwa na mbinu za mwalimu na ubora wa wachezaji. Huyu odegaard kwenye kupika ni mzembe sana, kuna moja kaingia ndani vizuri badala ya kushoot akaamua apasie pembeni 😏
Kuna siku nilisema hawa kina saka na martineli ni average players, mtu akaja kukataa mixer takwimu, ila huo ndio ukweli.
Ngoja tuone second half itakuwaje, kama wakichangamka pale goli 2 zinapatikana.