Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liver wanampoteza Trent

Arsenal tunahusishwa na Gittens.
 
Visichana vyetu kusagana kumevifanya vipotee kwenye mpira. Sasa hivi vinafungwa na kila mtu.
Arsenal ndio timu inaongoza kwenye ligi ya uingereza kwa kuwa na wasagaji wengi
 
Europa haina hadhi iliyokua nayo zamani ambapo vigongo vilikua vinashuka kutoka UCL kuingia EL
 
Inter kakaza msuli mpaka half time inakata Barca kapiga on target moja.

Sasa Barca wakirudi wataanza kushoot nje ya box
 
Inter na barca wote nyuma wapo wazi, na wote wanaombea psg apite ili fainal iwe nyepesi
Sikumbuki ni lini mara ya mwisho tunaruhusu goal tatu ndani ya mchezo mmoja

Hii uefa yetu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…