Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Financially ukimfananisha na makocha wa Arsenal ni sahihi. Ila ukimfananisha na timu zingine ni msiba.
 
Liver wanampoteza Trent

Arsenal tunahusishwa na Gittens.
 
Visichana vyetu kusagana kumevifanya vipotee kwenye mpira. Sasa hivi vinafungwa na kila mtu.
Arsenal ndio timu inaongoza kwenye ligi ya uingereza kwa kuwa na wasagaji wengi
 
Europa haina hadhi iliyokua nayo zamani ambapo vigongo vilikua vinashuka kutoka UCL kuingia EL
 
Inter kakaza msuli mpaka half time inakata Barca kapiga on target moja.

Sasa Barca wakirudi wataanza kushoot nje ya box
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…