Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyetoooooooz , yamepigwa tenaaaaaaaaa , AsenyetooooooooZzzzzzzzzzz back to default mode , ninyi ni loosers
 
Braza umesubsrcibe mpaka matakataka ya Taifa Stars??? 😂😂😂😂😂😂😂
 
Hii timu kuanzia mwanzo wa msimu mpaka game ya 28 inaitwa Arsenal, zikibakia game 10 za mwisho inabadilika na kua Arsenalia, Jukwaa linageuka kutoka furaha na kua vilio.
Sasa kama Bournemouth tu anawapiga nje ndani, kweli jumatano mtaweza kupindua meza kwa ile mijitu ya miraba 6 pale Parc des Princes?



#Arsenalia
 
Huyo Saka mnayemuona ndio star men wenu ambaye mlikuwa mnaamini akiwa fit mnachukua EPL tangu amerudi amewasaidia nini ??

Mmebahatisha point 9 kwenye possible 18 points na Saka akiwemo.
 
wadau wa mpira tuliliona hili mapema sana sasa nyie arsenal jumaa tano mnaingia na fatigue kidogo wakati wenzenu 98% ipo reserved mazoezini huo mpira wa comeback mnaofikiria sio rahisi kiivyo japo kwenye mpira lolote linawezekana

Tactic approach ya arsenal itakuwa sawa na approach aliotumia kwenye mchezo wake na Liverpool ulioisha
2-2 pale Emirates walianza kwa kasi ya ajabu kutafuta goli la lazima mapema ili wakae kwenye mfumo wao kilichotokea ikawa piga ni kupige hawafikiria hili linaweza kutokea huko ikitokea wamepata bao la mapema kwamba nao psg wata react na mchezo kuzidi kuwa mgumu kwa arsenal mlima wa aggregate kuzidi kujaa
 
Arsenal inamtaka Rodrygo wa Madrid. Rodrygo ametaka aongee kwanza Xabi ili ajua kama ana uhakika wa namba kisha afanye maamuzi.

Starting price ni 100M
 
City iliona mambo hayaendi. January akatumia 250M ili apate nafasi ya kucheza CL.

Arsenal tukaona mambo hayaendi. Ili kushindania kombe la ligi na CL hatukusajili mchezaji yeyote January
 
Kwako wew unaona rodrygo anafaa kuichezea arsenal
Very tricky question.

Rodrygo ana skills, analijua goli, anaweza take ons na dribbles na ni shooter mzuri. Ila Rodrygo siyo finished article, so akija Arsenal atatakiwa kuadopt.

Kwa 100M kumleta mchezaji ili aadopt ni uchizi, pili kama Arsenal kweli tunahitaji makombe wachezaji wa mpaka waadopt siyo option tena.

Swali lako linakua tricky kwakua ni kama linamaanisha "Yanahitajika makombe, Rodrygo ni mchezaji sahihi?" Hapa sasa ndiyo kujibu swali inakua ngumu. Ni mzuri ila ana uzuri wa kutosha kuleta instant impact? Hapo sina uhakika. Ila kama anakuja wakurupuane na Martinelli ni sawa
 
Umejibu vizury kiongozi, itakua lengo moja wapo ni ushindani wa namba kama hapo ulipogusia kwa martinelli.
 
Ni kivipi Brighton ameweza kuscore dk ya 28 dhidi ya Newcastle na akalinda goli mpaka dk ya 88?

Game management ya Arsenal is worrying. Miaka miwili nyuma Arsenal ilikua inaweza kuiongoza timu pinzani goli mbili na mechi ikaisha suluhu. Zikatoka lawama swala likaisha.

Sasa huku mwisho limeanza upya.

Na kitu kimoja. Kama unahisi Arteta ni tatizo technically nakuhakikishia jamaa anaweza kutoka Arsenal na akaenda timu nyingine na akafanya vizuri. Mshkaji siyo mbaya ila financial backup ya bodi ni kichomi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…