Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii Mechi ya leo mie naomba iwe ni draw ya 0-0.
 
Ushindi muhimu ugenini jana na hakika pointi 15 katika 15 sio mchezo, tuko kwenye fomu, vijana wameanza kuelewana uwanjani baada ya usajili wa haraka haraka.
Naona majirani pale darajani mambo mpaka sasa sio mambo, 0-1 kwa Liverpool wacha tuangalie nusu ya pili itaishiaje.
 
Hongereni sana WASHIKA BUNDUKI wenzangu......Hakika tunatia matumaini kwa sasa,ushindi wa mechi 5 mfululizo kwenye EPL si haba....

Mdogo mdogo tunaenda kileleni....

Arsenal: Together We Stand....
Kweli mkuu,na pts 7 tu toka wa pili.
 
I hope Mario Gotze atajiunga nasi dirisha dogo januari,halafu Wenger afanye kila jinsi tumpate podolski aje ampunguzie kazi RVP.
 
Uefa champion legeau i.un
naomba matokeo au_ mpaka tank kasoro ndio live. @@
 
Team news: Szczesny, Mertesacker, Santos, Kolscinely, Vermaelen, Gervinho, Walcott, Song, Arteta, Ramsey, Van Persie
 
I hope Mario Gotze atajiunga nasi dirisha dogo januari,halafu Wenger afanye kila jinsi tumpate podolski aje ampunguzie kazi RVP.

huyo dogo mario gotze mikosi!yaani hayo mawazo yako tukiongeza na kiungo mkabaji ambaye kazi yake inakuwa kuharibu mipango ya timu pinzani!!!arsenal hatukamatiki labda katika mataa ya surrender na kutuovertake huwezi!tuwe nyumbani au ugenini wapinzani watakuwa wanachezea tu!
 
huyo dogo mario gotze mikosi!yaani hayo mawazo yako tukiongeza na kiungo mkabaji ambaye kazi yake inakuwa kuharibu mipango ya timu pinzani!!!arsenal hatukamatiki labda katika mataa ya surrender na kutuovertake huwezi!tuwe nyumbani au ugenini wapinzani watakuwa wanachezea tu!

nilisoma kwenye web ya justarsenal waliandika wenger ame rule out hiyo issue ..
 
Tuko nyumbani lakini jamaa washabiki wao wameteka uwanja wetu, wako 7000 tu. Kweli mashabiki wetu uwanjani noma.
 
Mertesacker na Vermaelen inanikumbusha Tony Adams na Martin Keown.
 
Vermaelen anaingilia move moja nzuri ya hawa BD, what a classic defending.
 
Nimeipenda comment ya mtangazaji wa ss7 "ARSENAL IS A COMBINATION OF ELEVEN DIFFERENT NATIONALITIES"
 
BD wanawatoa kiungo Sven Bender na Mario Gotze kutokana na kuumia.
 
Back
Top Bottom