Bwabwa huyu msikieni.Breaking
Party akamwata akipiga nyeto chooni kupunguza mchenyeto wa mechi mtu mbad Perez ameamuru arudishwe London π π π
Umeniudhi na sasa nafanya kama Hamisi nakupa laana usiingie top 13 ya EPL na leo Lyon akutoe ili usiingie Ulaya msimu ujao. Na kwa hasira hii hii, hili kombe tumeamua kuwa tunalibeba sasa.
Na mafanikio ya mashabiki ya Man U ni nini? Timu yao kuingia top 10 EPL?mafanikio makubwa sana kwa timu yao kuwepo top 4 kwenye ligi
Sana tu.Kinacholeta utamu zaidi sio tu kufika nusu fainali... bali tumefika nusu fainali kwa kumtoa bingwa mtetezi ambaye ndio baba wa michuano na tena tumemguza kama chapati za mama Kuluthumu.
#COYG.
Basi tufanye lile sio goli, tumelifuta.Ile Madrid ya akina Ramos ilikua kali sana na hawakuogopa Red Card
Tufanye pale beki ni Ramos na hajamuacha Martinelli afunge, matokeo ni moja moja.Ukisikia beki bwege ndio huyu sasa, hapa ramos hakuachi
Na mafanikio ya mashabiki ya Man U ni nini? Timu yao kuingia top 10 EPL?
Kwa dakika mechi ilipofikia, aggregate na current score ya dakika zile ingekua dumb kutafuta red ambayo itafanya usicheze mechi tatu zijazo mkirudi CL.Ile Madrid ya akina Ramos ilikua kali sana na hawakuogopa Red Card
Siyo "Tutaama" ni "Tutahama"Yani tutaama timu mpaka mtoke huku sasa tuko PSG.
U missing the point broTufanye pale beki ni Ramos na hajamuacha Martinelli afunge, matokeo ni moja moja.
Namkata nje ya boxiHapo sasa mzee angefanya nn??
Pace kakuzidi na Ukimkata ni penalty na red card.
We ungefanyaje?
Hapana, Kilichoiua Madrid ni ile ya kuwapo Partey, Odegaard na Rice pale kati, halafu Merino yuko pale mbele na anarudi kusaidia midfield. Ndio maana Madrid kina Bellingham, Tchounamen, , Camavinga na Modric wali sanda.Merino ndio option
Rice utasema katoka kwenye Academy, utasema na yeye ni hale end asee. Jamaa anapassion sana na team. Nampenda Odegard ila natamani sana Huyu mwamba angekula ucaptain. What a player ase. Ananikumbusha Cesc na Viera.Rice was fuming to Pweza baada ya ile yellow
View attachment 3307175
π π πMuacheni Masingeli nae afurahie ushindi wa kumpaka Didy mafuta.
Ila Masingeli nae ana gundu aiseee, akishaanza tu kuleta porojo zake humu basi mechi yenu na Psg lazima mtolewe.
Nina uhakika Masingeli na allypipi watakua ni blood group moja. View attachment 3307161
naomba link ya source ya hii picha boss.Madrid vs mbao ngumu (mninga)View attachment 3307219
Hapana, Kilichoiua Madrid ni ile ya kuwapo Partey, Odegaard na Rice pale kati, halafu Merino yuko pale mbele na anarudi kusaidia midfield. Ndio maana Madrid kina Bellingham, Tchounamen, , Camavinga na Modric wali sanda.
kocha anatakiwa kumtumia Joginho au Calafiori pale kati game ya kwanza na PSG. Sub baadae amlete Zincheko.
Game ya marudiano arudishe winning team na midifield iliyoanza na Madrid game zote mbili.