Odegard tangu arudi injury bado hajakua fit, ana struggle zana kucheza ambao alituzoeshaNarudia tena.
Hichi kipindi cha kwanza kimewakumbusha Madrid kwamba walikua sahihi kumchekecha Odegaard na wako sahihi kumhitaji Saliba
Matumizi makubwa ya nguvu pasipo sababu.Rudiger ana hasira sana
Hata kushuti ni swala la kua fit?Odegard tangu arudi injury bado hajakua fit, ana struggle zana kucheza ambao alituzoesha
Have respect kwa Odegard
Taratibu kijana,huku tunafurahia mechiUnafirwa na wanga wewe
Pira haramuuuuuuTunaruhusu sana watutawale. Mother fanta
Nani amekwambia?Matokeo yakibaki hivi itakuwa Arsenal vs Inter.
Nusu fainali
Majibu ni dakika 90
Dogo kazingua sana. Kwenye game za pressure hana historia nzuri na penalty angepiga hata gaardSiyo poa Saka bhanaaa
Yule dogo kazingua sana pale na sio mara yake ya kwanza kukosa tuta kwenye mechi muhimuNdo maana tunaitwa Nyani huko Ughaibuni,Hivi unawezaje kuipa Nyani kupiga penati?
Nimechukia sana Leo!
Mimi tu mkuuNani amekwambia?
sio Psg?Matokeo yakibaki hivi itakuwa Arsenal vs Inter.
Nusu fainali
Majibu ni dakika 90
Huwez jua, ku-shoot inahitaji timing na ndio kitu bado ana struggle nacho, sio kama haweziHata kushuti ni swala la kua fit?