Aisee nyie viazi mtapgwa km ngoma, na madrid wapo serious, wanawafungia humo humo ndani mana wanajua kipondo heavy watakachokitoa kikizid hamchelewi kukimbia.
Na baada ya dk.90 hatutataka visingizio vya refa umbwa nyie. mmewachokoza wenyewe, hakuna aliyewatuma.