Mnachekesha humu jamvini! Mnataka mshinde uefa na kiwior? Saka ? Martineli ? Bichwa kubwa akili kisoda merino ? Kabla ya kuwaza ni nani mtakutana nae finally,,, wazeni fuko la magoli pale berbabeu,, ! Goli 3 ni chache sana kwa utatu wa vini , klyan na rodrigo,,, ! !