Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa PSG baada ya game ya jana hawana tena mechi yoyote mpaka wiki ijayo wanapokutana tena na Villa waliowapiga 3 - 1.

Wakati huo huo Villa atacheza na Soton tarehe 12 halafu tarehe 15 anatakiwa akutane na PSG kuwalipa hiki kipigo.

Huku kwingine ni Arsenal ana mechi tarehe 12 dhidi ya Brentford halafu tarehe 16 ana mechi dhidi ya Madrid. Yeye Madrid ana mechi tarehe 13 dhidi ya Deportivo Alaves halafu on 16th anatakiwa kufanya comeback dhidi ya Arsenal.

Hii ratiba inampika Villa
 
Villa safari yake ndio imeishia hapa, na anapigwa home kwake pale chuma 2 au 3 tena,, wajalibu tena mwakani
 
Hawa Barcelona wanapiga mpira aisee. Natamani tukutane nao fainali ikiwezekana ili tujipime nao. Tukiwapiga tunabeba kombe na wakitupiga tunakuwa tumepata somo zuri na tumaini ni tutaboresha kikosi kwa ajili ya kupambana na upinzani wa level ile, kwa msimu ujao.
 
Nah bro.

We have the best defense in the world.

Zile chance za counter watazikosa utashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…