Time to move on Gunners for life .... ..... .... tunategemea kumwona Jack next month pale katikati patakuwa poa sana ... ..... ..... ..kibaya zaidi mechi ya Mancs inakuja mapema lakini tutawatoa nishai tu.
Sidhani kama suala ni wanachofanya sasa hivi, bali ni madhara gani yalitokana na kuondoka kwao... Hleb, Flamini, Kolo, Samir na wengine, kuondoka kwao kumekuwa big blow kwa klabu. nadhani mwenyewe umeeona jinsi gani defence ya Arsenal haijatulia tangu Kolo aondoke... Kuhusu makombe shaka ondoa, hiyo ndo desire ya kila shabiki, kocha na mchezaji. Uliona wapi katika soka mafanikio yakapimwa kwa pasi? Hata wenger akitaka kuwafariji mashabiki wa Arsenal huwa anaahidi makombe... sitaacha kusema ukweli ati kisa wewe na Wacha mtasema mimi siipendi Arsenal.. ebo?Kwani hao waliondoka wamefanya maajabu gani mpaka sasa? Wao walitaka kuondoka sababu ya pesa, chama Arsenal itaendelea kuwepo hata RVP akiondoka, ukipenda chama kipende kwa mazuri na mabaya, sio lazima kuipenda timu ambayo bingwa kila mara. Sio kwamba hatujawahi kushinda vikombe, usiwe obsessed na vikombe kama media za UK zilivyo, kama kweli wewe ni mpenzi wa football, nakuomba uelewe vikombe ni zawadi ya mwisho kwa timu zinazoshindana, ila isiwe kisingizio cha kuponda timu yako!
Mie naamini tutashinda hivyo tena karibuni, swala ni kuwa na faith tu, ila mwenzetu Mphamvu wewe ni kuponda tu! Hata kama mambo yanaendesha fresh sasa sioni sababu ya wewe kama kweli ni gooner kuendelea kuwa cynical!
Swala muhimu kuliko lote kwa Gunners ni financial stability, na sio kujiweka kwenye madeni yasio na mpango kwa kuwalipa pesa nyingi wachezaji.
Wenzako tunaridhika na kuendelea kuwa support Gunners as true fans, in whatever situation we are in!
Maybe you should as well.
Haya bwana,kuna ukweli inside but acheni malumbano manake sasa twagombana wenyewe kwa wenyewe!Sidhani kama suala ni wanachofanya sasa hivi, bali ni madhara gani yalitokana na kuondoka kwao... Hleb, Flamini, Kolo, Samir na wengine, kuondoka kwao kumekuwa big blow kwa klabu. nadhani mwenyewe umeeona jinsi gani defence ya Arsenal haijatulia tangu Kolo aondoke... Kuhusu makombe shaka ondoa, hiyo ndo desire ya kila shabiki, kocha na mchezaji. Uliona wapi katika soka mafanikio yakapimwa kwa pasi? Hata wenger akitaka kuwafariji mashabiki wa Arsenal huwa anaahidi makombe... sitaacha kusema ukweli ati kisa wewe na Wacha mtasema mimi siipendi Arsenal.. ebo?
Haya bwana,kuna ukweli inside but acheni malumbano manake sasa twagombana wenyewe kwa wenyewe!
Pamoja.mia!kweli mkuu ... lets just enjoy the game....
![]()
Haya bwana,kuna ukweli inside but acheni malumbano manake sasa twagombana wenyewe kwa wenyewe!
kweli mkuu ... lets just enjoy the game....
![]()
Sana tu,Tikala malamu!copy! ila wacha ananikera sana, kwanza font zake zinaumiza macho, ile miandishi yake ya khe khe khee... ananichefua sana! i wish ningemweka kwa ignore list lakini nitamiss michango yake!
Sana tu,Tikala malamu!
Time to move on Gunners for life .... ..... .... tunategemea kumwona Jack next month pale katikati patakuwa poa sana ... ..... ..... ..kibaya zaidi mechi ya Mancs inakuja mapema lakini tutawatoa nishai tu.
Nyie wamanyema mnatutesa sie wamatumbi (Off topic:Avatar yako ina mvuto n natural)Hehehe... zibali ya ekanga jole na arsenal mu-location ya lubumbashi... oka!
Tuseme Nasri amekubali kwenda kuchoma mahindi Etihad?
cmuombei mabaya lakini mimi naona kama ndo atapotea kabisa kwenye form yake!!!
cmuombei mabaya lakini mimi naona kama ndo atapotea kabisa kwenye form yake!!!
Nyie wamanyema mnatutesa sie wamatumbi (Off topic:Avatar yako ina mvuto n natural)
gooners... wamenizoesha vibaya ... kila weekend tunagawa kichapo, weekend hii itakuwa kama msiba hakuna EPL