Questt
JF-Expert Member
- Oct 8, 2009
- 3,010
- 422
Just a REMINDER..... Zile goli 5 (Highlights) waweza ziona vizuri in HIGH DEFINITION kupitia site hii Arsenal vs Chelsea 38mins highlights -
Arsenal Raha sana....
Arsenal Raha sana....
Ni kweli hatutaruddi nyuma mkuu.....Natumaini hatutarudi nyuma sasa!
Natumaini hatutarudi nyuma sasa!
bado! nasema tena bado, msifumbwe macho na ushindi kwa timu mbovu. kwa safu ya ulinzi ya asenali ikikutana na timu yenye push force kama bayern munchen ev, yanatokea tena ya 8-2. ufungaji bado ni tatizo, halafu timu haiwezi kudefend ushindi wake. cheki challenge walioipata mansita jana kwa sunderland, ingekuwa arse8 pale vijana wangerudi kudai chenji yao na wangeipata. ungeshangaa mwisho wa game 3-1 cats! thats y gunnes wanaweza kuongoza hata mara 3 kwa game moja, lakini watu wanarudisha!
bado! nasema tena bado, msifumbwe macho na ushindi kwa timu mbovu. kwa safu ya ulinzi ya asenali ikikutana na timu yenye push force kama bayern munchen ev, yanatokea tena ya 8-2. ufungaji bado ni tatizo, halafu timu haiwezi kudefend ushindi wake. cheki challenge walioipata mansita jana kwa sunderland, ingekuwa arse8 pale vijana wangerudi kudai chenji yao na wangeipata. ungeshangaa mwisho wa game 3-1 cats! thats y gunnes wanaweza kuongoza hata mara 3 kwa game moja, lakini watu wanarudisha!
Van persie anatesa sana, tumuombee aendelee kuwa fit hivi hivi.
Umeona stats hapo juu? Endelea na ubishi wako sisi bado tunapanda ado ado!
kumbe? ndo tabu ya unazi, mtu ukielezwa ukweli mnakuwa wakali. mimi pia ni fan wa arsenal, ila huwa sipendi kujifariji. nadhani uliona kile kilitokea game ya spurz, fomu si ilikuwa hii hii?
Wacha ngebe, kwanza huna unazi wowote na Arsenal bali umekuja kuwanga tu hapa, hata hufahamu unazungumza nini mechi ya Spurs goli lilifungwa baada ya mfungaji kuunawa mpira chacha chijui una kumbukumbu kiasi gani? Ulichema kuhusu Sunderland kumbe hujui tuliwakung'uta chacha hamia Spuds wakati hukuona mpira. Wacha kurukaruka kama kunguru. Only haters and foolish people can not see the light at the end of the tunnel. We have got the goal machine at the moment chacha chijui kwanza unachangia kiasi gani in terms of unazi wako au ni maloloso tu. Rudi kwenye timu yako ya Manure. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mpuuzi kweli wewe mtoto. wewe kwako unazi ni kukesha kwenye keyboard na kuandika khe khe kheee! nyambaff, kuhusu kuichangia asenal hakuna ulazima, they earn a lot toka emirates, kit sales na mapato mengine. after all ni kampuni kama quality group na makampuni mengine. mimi nichangie kampuni? una kichaa kweli we binti!
lakini mwana tukirudi on reality kuna post flani ulimchambua wenger..... nadhani ukasema wachezaji hawa accomplish chochote baada ya mdau flani kusema sisi tuna tengeneza nyota wetu ... siikumbuki vizuri hiyo post ... but nadhani iliwakera gooners wengi...
mi nilidhani we ni ch3l5iki au man6 ...
Mpuuzi kweli wewe mtoto. wewe kwako unazi ni kukesha kwenye keyboard na kuandika khe khe kheee! nyambaff, kuhusu kuichangia asenal hakuna ulazima, they earn a lot toka emirates, kit sales na mapato mengine. after all ni kampuni kama quality group na makampuni mengine. mimi nichangie kampuni? una kichaa kweli we binti!
nope dear viper! nilisema kuzalisha nyota hakujaisaidia arse8 kwa vile arse8 si kama ajax ambao kwao wachezaji ni biashara. kama unashindwa kuwalinda wachezaji uliowazalisha kwa zengwe dogo tu la mshahara, mfano clichy, nasri, flamini, kolo et al, halafu timu haina major title tangu 2004. sasa kwanini ukweli usisemwe hata kama mi ni fan wa gunners. naipenda arsenal tangu zamani, lakini siwezi kuipa sifa za kijinga ili nijifariji. arsenal hawana mipango ya muda mrefu, sasa hv utasikha wamemuuza rvp, akili au matope?
sawa nimekusoma mkuu.. lakini usimlaumu arsene wenger ... bodi ndiyo ya kulaumiwa.. kumbuka wenger alifight kumbakisha frebragas na he will do the same kwa v.persie ... ila v.persie akitaka mishahara ya kina na$ri.. sidhani kama bodi itakubali ...
wenger bado ni kocha mzuri saaaaana tu .. ukiangalia katika EPLl no one katika can match kind of football tunayocheza na hilo ndilo wapinzani wanalo mezea mate .. zile one , two labda barca peke yao ndio wanaweza kupiga.. anytime wenger akiondoka utashangaa kaitwa Madrid ..
Jamani msio manazi wa gooners mnatuletea usiku.
kwa fabregas sina tatizo sana, zengwe lake halina tofauti na la jose antonio reyes. alishaumwa homesick na alikuwa na kiu ya kujenga cv. lazima angeondoka tu... hata alijilipia mwenyewe sehemu ya ada ya uhamisho, nadhani unaona hali ilivyokuwa ngumu. ila kwa aleksandr hleb, mathieu flamini, kolo toure na samir nasri namlaumu wenger, yeye ndo alikuwa wa kuishawishi hiyo bodi iwabakishe. kuondoka kwao kumekuwa verry costful. ni kawaida manager kulaumiwa kwa mambo mengi ndani ya klabu!
Kwani hao waliondoka wamefanya maajabu gani mpaka sasa? Wao walitaka kuondoka sababu ya pesa, chama Arsenal itaendelea kuwepo hata RVP akiondoka, ukipenda chama kipende kwa mazuri na mabaya, sio lazima kuipenda timu ambayo bingwa kila mara. Sio kwamba hatujawahi kushinda vikombe, usiwe obsessed na vikombe kama media za UK zilivyo, kama kweli wewe ni mpenzi wa football, nakuomba uelewe vikombe ni zawadi ya mwisho kwa timu zinazoshindana, ila isiwe kisingizio cha kuponda timu yako!
Mie naamini tutashinda hivyo tena karibuni, swala ni kuwa na faith tu, ila mwenzetu Mphamvu wewe ni kuponda tu! Hata kama mambo yanaendesha fresh sasa sioni sababu ya wewe kama kweli ni gooner kuendelea kuwa cynical!
Swala muhimu kuliko lote kwa Gunners ni financial stability, na sio kujiweka kwenye madeni yasio na mpango kwa kuwalipa pesa nyingi wachezaji.
Wenzako tunaridhika na kuendelea kuwa support Gunners as true fans, in whatever situation we are in!
Maybe you should as well.
kwa fabregas sina tatizo sana, zengwe lake halina tofauti na la jose antonio reyes. alishaumwa homesick na alikuwa na kiu ya kujenga cv. lazima angeondoka tu... hata alijilipia mwenyewe sehemu ya ada ya uhamisho, nadhani unaona hali ilivyokuwa ngumu. ila kwa aleksandr hleb, mathieu flamini, kolo toure na samir nasri namlaumu wenger, yeye ndo alikuwa wa kuishawishi hiyo bodi iwabakishe. kuondoka kwao kumekuwa verry costful. ni kawaida manager kulaumiwa kwa mambo mengi ndani ya klabu!