Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game ilikua bomba, tuliwabana mno, tungeweza hata kuimarisha goal difference yetu kwa kufunga mengi zaidi.
Sio siri we are jellying.
Let it continue.
 
Natumaini hatutarudi nyuma sasa!

bado! nasema tena bado, msifumbwe macho na ushindi kwa timu mbovu. kwa safu ya ulinzi ya asenali ikikutana na timu yenye push force kama bayern munchen ev, yanatokea tena ya 8-2. ufungaji bado ni tatizo, halafu timu haiwezi kudefend ushindi wake. cheki challenge walioipata mansita jana kwa sunderland, ingekuwa arse8 pale vijana wangerudi kudai chenji yao na wangeipata. ungeshangaa mwisho wa game 3-1 cats! thats y gunnes wanaweza kuongoza hata mara 3 kwa game moja, lakini watu wanarudisha!
 
bado! nasema tena bado, msifumbwe macho na ushindi kwa timu mbovu. kwa safu ya ulinzi ya asenali ikikutana na timu yenye push force kama bayern munchen ev, yanatokea tena ya 8-2. ufungaji bado ni tatizo, halafu timu haiwezi kudefend ushindi wake. cheki challenge walioipata mansita jana kwa sunderland, ingekuwa arse8 pale vijana wangerudi kudai chenji yao na wangeipata. ungeshangaa mwisho wa game 3-1 cats! thats y gunnes wanaweza kuongoza hata mara 3 kwa game moja, lakini watu wanarudisha!

Huna kumbu kumbu wewe stats hapa chini .... ...... ........

article-2049758-0E67AAED00000578-95_306x320.jpg
article-2049758-0E67AAED00000578-778_306x320.jpg


Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
bado! nasema tena bado, msifumbwe macho na ushindi kwa timu mbovu. kwa safu ya ulinzi ya asenali ikikutana na timu yenye push force kama bayern munchen ev, yanatokea tena ya 8-2. ufungaji bado ni tatizo, halafu timu haiwezi kudefend ushindi wake. cheki challenge walioipata mansita jana kwa sunderland, ingekuwa arse8 pale vijana wangerudi kudai chenji yao na wangeipata. ungeshangaa mwisho wa game 3-1 cats! thats y gunnes wanaweza kuongoza hata mara 3 kwa game moja, lakini watu wanarudisha!

Umeona stats hapo juu? Endelea na ubishi wako sisi bado tunapanda ado ado!
 
Umeona stats hapo juu? Endelea na ubishi wako sisi bado tunapanda ado ado!

kumbe? ndo tabu ya unazi, mtu ukielezwa ukweli mnakuwa wakali. mimi pia ni fan wa arsenal, ila huwa sipendi kujifariji. nadhani uliona kile kilitokea game ya spurz, fomu si ilikuwa hii hii?
 
kumbe? ndo tabu ya unazi, mtu ukielezwa ukweli mnakuwa wakali. mimi pia ni fan wa arsenal, ila huwa sipendi kujifariji. nadhani uliona kile kilitokea game ya spurz, fomu si ilikuwa hii hii?

Wacha ngebe, kwanza huna unazi wowote na Arsenal bali umekuja kuwanga tu hapa, hata hufahamu unazungumza nini mechi ya Spurs goli lilifungwa baada ya mfungaji kuunawa mpira chacha chijui una kumbukumbu kiasi gani? Ulichema kuhusu Sunderland kumbe hujui tuliwakung'uta chacha hamia Spuds wakati hukuona mpira. Wacha kurukaruka kama kunguru. Only haters and foolish people can not see the light at the end of the tunnel. We have got the goal machine at the moment chacha chijui kwanza unachangia kiasi gani in terms of unazi wako au ni maloloso tu. Rudi kwenye timu yako ya Manure. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha ngebe, kwanza huna unazi wowote na Arsenal bali umekuja kuwanga tu hapa, hata hufahamu unazungumza nini mechi ya Spurs goli lilifungwa baada ya mfungaji kuunawa mpira chacha chijui una kumbukumbu kiasi gani? Ulichema kuhusu Sunderland kumbe hujui tuliwakung'uta chacha hamia Spuds wakati hukuona mpira. Wacha kurukaruka kama kunguru. Only haters and foolish people can not see the light at the end of the tunnel. We have got the goal machine at the moment chacha chijui kwanza unachangia kiasi gani in terms of unazi wako au ni maloloso tu. Rudi kwenye timu yako ya Manure. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Mpuuzi kweli wewe mtoto. wewe kwako unazi ni kukesha kwenye keyboard na kuandika khe khe kheee! nyambaff, kuhusu kuichangia asenal hakuna ulazima, they earn a lot toka emirates, kit sales na mapato mengine. after all ni kampuni kama quality group na makampuni mengine. mimi nichangie kampuni? una kichaa kweli we binti!
 
Mpuuzi kweli wewe mtoto. wewe kwako unazi ni kukesha kwenye keyboard na kuandika khe khe kheee! nyambaff, kuhusu kuichangia asenal hakuna ulazima, they earn a lot toka emirates, kit sales na mapato mengine. after all ni kampuni kama quality group na makampuni mengine. mimi nichangie kampuni? una kichaa kweli we binti!

lakini mwana tukirudi on reality kuna post flani ulimchambua wenger..... nadhani ukasema wachezaji hawa accomplish chochote baada ya mdau flani kusema sisi tuna tengeneza nyota wetu ... siikumbuki vizuri hiyo post ... but nadhani iliwakera gooners wengi...

mi nilidhani we ni ch3l5iki au man6 ...
 
lakini mwana tukirudi on reality kuna post flani ulimchambua wenger..... nadhani ukasema wachezaji hawa accomplish chochote baada ya mdau flani kusema sisi tuna tengeneza nyota wetu ... siikumbuki vizuri hiyo post ... but nadhani iliwakera gooners wengi...

mi nilidhani we ni ch3l5iki au man6 ...

nope dear viper! nilisema kuzalisha nyota hakujaisaidia arse8 kwa vile arse8 si kama ajax ambao kwao wachezaji ni biashara. kama unashindwa kuwalinda wachezaji uliowazalisha kwa zengwe dogo tu la mshahara, mfano clichy, nasri, flamini, kolo et al, halafu timu haina major title tangu 2004. sasa kwanini ukweli usisemwe hata kama mi ni fan wa gunners. naipenda arsenal tangu zamani, lakini siwezi kuipa sifa za kijinga ili nijifariji. arsenal hawana mipango ya muda mrefu, sasa hv utasikha wamemuuza rvp, akili au matope?
 
Mpuuzi kweli wewe mtoto. wewe kwako unazi ni kukesha kwenye keyboard na kuandika khe khe kheee! nyambaff, kuhusu kuichangia asenal hakuna ulazima, they earn a lot toka emirates, kit sales na mapato mengine. after all ni kampuni kama quality group na makampuni mengine. mimi nichangie kampuni? una kichaa kweli we binti!

Phew! Who is angry now. Fact zinauma ekhe ... ...... chacha mimi ni mtoto haya ulinizaa lini na kunifahamu mimi ni binti? Au ndio ulivyofunzwa kushambuli mtu hata humjui, Je ni lini nilikesha hapa khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee pole sana ukifikisha umri wangu utakumbuka maneno yangu kwa sababu the truth hurts right in the bones.

Then unalinganisha Quality group na Arsenal, you must be out of your mind, matapeli wa fedha za NSSF na Arsenal kweli hapa naona kichuguu na Mt. Kilimanjaro. Oooops not our Kichuguu here at JF khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee



BTW fan wa Arsenal ambaye hajui hata matokea ya Sunderkand Vs Arsenal ambaye hata mpira wa Spuds hakuangalia na hajui matokeo. Then analeta viroja phew!
 
nope dear viper! nilisema kuzalisha nyota hakujaisaidia arse8 kwa vile arse8 si kama ajax ambao kwao wachezaji ni biashara. kama unashindwa kuwalinda wachezaji uliowazalisha kwa zengwe dogo tu la mshahara, mfano clichy, nasri, flamini, kolo et al, halafu timu haina major title tangu 2004. sasa kwanini ukweli usisemwe hata kama mi ni fan wa gunners. naipenda arsenal tangu zamani, lakini siwezi kuipa sifa za kijinga ili nijifariji. arsenal hawana mipango ya muda mrefu, sasa hv utasikha wamemuuza rvp, akili au matope?

sawa nimekusoma mkuu.. lakini usimlaumu arsene wenger ... bodi ndiyo ya kulaumiwa.. kumbuka wenger alifight kumbakisha frebragas na he will do the same kwa v.persie ... ila v.persie akitaka mishahara ya kina na$ri.. sidhani kama bodi itakubali ...

wenger bado ni kocha mzuri saaaaana tu .. ukiangalia katika EPLl no one katika can match kind of football tunayocheza na hilo ndilo wapinzani wanalo mezea mate .. zile one , two labda barca peke yao ndio wanaweza kupiga.. anytime wenger akiondoka utashangaa kaitwa Madrid ..
 
sawa nimekusoma mkuu.. lakini usimlaumu arsene wenger ... bodi ndiyo ya kulaumiwa.. kumbuka wenger alifight kumbakisha frebragas na he will do the same kwa v.persie ... ila v.persie akitaka mishahara ya kina na$ri.. sidhani kama bodi itakubali ...

wenger bado ni kocha mzuri saaaaana tu .. ukiangalia katika EPLl no one katika can match kind of football tunayocheza na hilo ndilo wapinzani wanalo mezea mate .. zile one , two labda barca peke yao ndio wanaweza kupiga.. anytime wenger akiondoka utashangaa kaitwa Madrid ..

kwa fabregas sina tatizo sana, zengwe lake halina tofauti na la jose antonio reyes. alishaumwa homesick na alikuwa na kiu ya kujenga cv. lazima angeondoka tu... hata alijilipia mwenyewe sehemu ya ada ya uhamisho, nadhani unaona hali ilivyokuwa ngumu. ila kwa aleksandr hleb, mathieu flamini, kolo toure na samir nasri namlaumu wenger, yeye ndo alikuwa wa kuishawishi hiyo bodi iwabakishe. kuondoka kwao kumekuwa verry costful. ni kawaida manager kulaumiwa kwa mambo mengi ndani ya klabu!
 
kwa fabregas sina tatizo sana, zengwe lake halina tofauti na la jose antonio reyes. alishaumwa homesick na alikuwa na kiu ya kujenga cv. lazima angeondoka tu... hata alijilipia mwenyewe sehemu ya ada ya uhamisho, nadhani unaona hali ilivyokuwa ngumu. ila kwa aleksandr hleb, mathieu flamini, kolo toure na samir nasri namlaumu wenger, yeye ndo alikuwa wa kuishawishi hiyo bodi iwabakishe. kuondoka kwao kumekuwa verry costful. ni kawaida manager kulaumiwa kwa mambo mengi ndani ya klabu!

Kwani hao waliondoka wamefanya maajabu gani mpaka sasa? Wao walitaka kuondoka sababu ya pesa, chama Arsenal itaendelea kuwepo hata RVP akiondoka, ukipenda chama kipende kwa mazuri na mabaya, sio lazima kuipenda timu ambayo bingwa kila mara. Sio kwamba hatujawahi kushinda vikombe, usiwe obsessed na vikombe kama media za UK zilivyo, kama kweli wewe ni mpenzi wa football, nakuomba uelewe vikombe ni zawadi ya mwisho kwa timu zinazoshindana, ila isiwe kisingizio cha kuponda timu yako!
Mie naamini tutashinda hivyo tena karibuni, swala ni kuwa na faith tu, ila mwenzetu Mphamvu wewe ni kuponda tu! Hata kama mambo yanaendesha fresh sasa sioni sababu ya wewe kama kweli ni gooner kuendelea kuwa cynical!
Swala muhimu kuliko lote kwa Gunners ni financial stability, na sio kujiweka kwenye madeni yasio na mpango kwa kuwalipa pesa nyingi wachezaji.
Wenzako tunaridhika na kuendelea kuwa support Gunners as true fans, in whatever situation we are in!
Maybe you should as well.
 
Kwani hao waliondoka wamefanya maajabu gani mpaka sasa? Wao walitaka kuondoka sababu ya pesa, chama Arsenal itaendelea kuwepo hata RVP akiondoka, ukipenda chama kipende kwa mazuri na mabaya, sio lazima kuipenda timu ambayo bingwa kila mara. Sio kwamba hatujawahi kushinda vikombe, usiwe obsessed na vikombe kama media za UK zilivyo, kama kweli wewe ni mpenzi wa football, nakuomba uelewe vikombe ni zawadi ya mwisho kwa timu zinazoshindana, ila isiwe kisingizio cha kuponda timu yako!
Mie naamini tutashinda hivyo tena karibuni, swala ni kuwa na faith tu, ila mwenzetu Mphamvu wewe ni kuponda tu! Hata kama mambo yanaendesha fresh sasa sioni sababu ya wewe kama kweli ni gooner kuendelea kuwa cynical!
Swala muhimu kuliko lote kwa Gunners ni financial stability, na sio kujiweka kwenye madeni yasio na mpango kwa kuwalipa pesa nyingi wachezaji.
Wenzako tunaridhika na kuendelea kuwa support Gunners as true fans, in whatever situation we are in!
Maybe you should as well.

kwa fabregas sina tatizo sana, zengwe lake halina tofauti na la jose antonio reyes. alishaumwa homesick na alikuwa na kiu ya kujenga cv. lazima angeondoka tu... hata alijilipia mwenyewe sehemu ya ada ya uhamisho, nadhani unaona hali ilivyokuwa ngumu. ila kwa aleksandr hleb, mathieu flamini, kolo toure na samir nasri namlaumu wenger, yeye ndo alikuwa wa kuishawishi hiyo bodi iwabakishe. kuondoka kwao kumekuwa verry costful. ni kawaida manager kulaumiwa kwa mambo mengi ndani ya klabu!

MARCO VAV BASTEN ON ARSENAL AND van PERSIE

We're all aware that Robin van Persie's contract is winding down,we're also aware tha he is fraggin awesome.one might go as far as to say he's the best stricker in the world at the moment many of us are worried at the prospect losing him.
That's not to say he can't be replaced,any player can be replaced as Wenger has proves time and time but its just make it all more easier to keep these world class players.
We all belive arsenal is best place for van Persie to play and his fellow dutchman agrees,sightening our club's class,style of play and even our shirts as reason to stay.

"Robin must not leaves Arsenal...You can't compare my situation at Ajax.The big different is that Robin is already at a big club.

Robin has been in London for six years.He can't help in that Arsenal has won nothing in that time.Soo much has changed in those six years in premier league.Chelsea have become big club and have massive financial resourcers."

Manchester City have become a big forces and a richer club more than any other club."

Liverpool and Manchester united have American owners the amount of money which flowing in these clubs for tranfers is unbeliveble.Arsenal operate differently. I adimire that."
And I still think Arsenal are the most beautiful club in England
.At Man City and Chelsea they will never have that class and style Arsenal have.Arsenal have most amazing stadium,they have a style of play.they have a beautilf shirt -in every way I consider Arsenal as ultimate football club.
It is the club where Robin belongs".......MARCO VAN BASTEN
 
Back
Top Bottom