Leo namuangalia Merino.
Naona kama yeye anacheza deep sana upande wetu badala ya kuwakaribia mabeki wao tukishambulia. Kuna wakati kuna mabeki watatu hadi wanne wako mbele yake na hawapi usumbufu wowote. Runs za kutamani kumalizia crosses au through passes pia hafanyi.
Hapa nawaza ningekuwa kocha ningemuweka hata Sterling au Trossard kwenye nafasi yake.
Upande wa defense, kina Kiwior wanahitaji focus ya hali ya juu na kuhakiksha mipira wanayotoa inafika miguu mwa watu maana washambuliaji wa Madrid si watu wazuri hata kidogo.