Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kipindi partey anasumbuliwa na majerui, kuna shabiki wa nyumbu nilimuambia bora partey majerui kuliko casimiro ambae always yupo fit

Nikaenda mbali zaidi, nikamuambia bora cr7 mzee kuliko rashford kijana

Oya wazee huyu partey aongezewe miaka miwili
 
Leo namuangalia Merino.
Naona kama yeye anacheza deep sana upande wetu badala ya kuwakaribia mabeki wao tukishambulia. Kuna wakati kuna mabeki watatu hadi wanne wako mbele yake na hawapi usumbufu wowote. Runs za kutamani kumalizia crosses au through passes pia hafanyi.

Hapa nawaza ningekuwa kocha ningemuweka hata Sterling au Trossard kwenye nafasi yake.

Upande wa defense, kina Kiwior wanahitaji focus ya hali ya juu na kuhakiksha mipira wanayotoa inafika miguu mwa watu maana washambuliaji wa Madrid si watu wazuri hata kidogo.
 
Leo namuangalia Merino.
Naona kama yeye anacheza deep sana upande wetu badala ya kuwakaribia mabeki wao tukishambulia. Kuna wakati kuna mabeki watatu hadi wanne wako mbele yake na hawapi usumbufu wowote. Runs za kutamani kumalizia crosses au through passes pia hafanyi.

Hapa nawaza ningekuwa kocha ningemuweka hata Sterling au Trossard kwenye nafasi yake.

Upande wa defense, kina Kiwior wanahitaji focus ya hali ya juu na kuhakiksha mipira wanayotoa inafika miguu mwa watu maana washambuliaji wa Madrid si watu wazuri hata kidogo.
Ukipoteza mpira eneo la kati, ghafla tu wamemfikia Raya. Wanahitaji kujiangalia.
 
Back
Top Bottom