Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama kawa RvP Katingisha nyavu, vermaelen sana tu. #GOONERPOWER.
 
hawa Leo wetu

Nilikuwa naangalia mechi zetu za siku sa usoni. Tuna mechi nne (pamoja na hii ya leo) ambazo tunastahili kushinda na hivyo kujikusanyia point 12 na mechi ngumu itakuwa kwetu December 10 na wale Everton. Tukiweza kushinda mechi hizi zote tutajiweka katika nafasi nzuri sana na labda kuweza kupanda hadi nafasi ya nne au hata zaidi.
 
Habari zenu wadau wenzangu.... ndo nimetia maguu home toka Kibaruani... nawasha TV, Ramsey Anakosa bao.... ila Score board inaridhisha.... Hii game ndo ya kurekebisha Goal Difference.......
 
Arse8 wanafanya mabadiliko. ramsey na gervinho wanatoka, rosicky na benayoun wanaingia respectively!
 
Goaaalllllllllllllllllllllllll.....................................ARTETAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Back
Top Bottom