Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,233
- 76,758
Arsenal ishacheza blocking ya hatari dhidi ya prime city na wengine wakasema Arteta muoga.
Juzi liver kafanya blocking wakasema slot ni genius.
Atletico inafanya blocking inasifiwa.
Ujinga mwingine siyo wa kuentertain kwakua watu wengi hawajui mpira na mechi hawaangalii. No need kujibu utumbo
Juzi liver kafanya blocking wakasema slot ni genius.
Atletico inafanya blocking inasifiwa.
Ujinga mwingine siyo wa kuentertain kwakua watu wengi hawajui mpira na mechi hawaangalii. No need kujibu utumbo