Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Aisee nawaonea huruma sana hawa pimbi ,Atletico wanapiga kabali huko ni nuksi , nipo naangalia game ya Madrid na Atletico ,ni mpera mpera , Madrid wepotezwa ,hawaonekani kabisa , hawa Kenge wa Asenyeli hawatapata short on target hata moja wakikutana na hawa wahuni Atletico ,waombe Madrid dhaifu hii ipite


Kuna mishabiki mingine humu ya Arsenyau inachekelea, inasema bora kukutana na Madrid yoyote lakini sio kukutana Bayern Munich

