BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
tetea kasema ana bet asenyoz kushinda Epl+ UclUmechanganyikiwa nini mzee
Kocha anaweza ongea lolote.tetea kasema ana bet asenyoz kushinda Epl+ Ucl
Matokeo ya mechi 3 za mwisho za ArsenyoWikiendi tuna mechi na nyny jirani....habari za PSV achana nazo wale tutawapelekea under 16 wacheze nao ndo level yao
Point yako ni ipi shehe....hueleweki naona hapa kama umepiga siasa hivi....hzo timu tatu ulizoweka hapo juu hamna hata moja italayotufungaMatokeo ya mechi 3 za mwisho za Arsenyo
Arsenyo 0-1 Westham
N.Forest 1-1 Arsenyo
Man Utd 1-1 Arsenyo
Halafu kuna fixtures ya hizi mechi 3 nyingine lazima Arsenyau mdondoshe points9
Arsenyo vs Chelsea
Liverpool vs Arsenyo
Arsenyo vs Newcastle
Liverpool watabeba kombe kwa gape la zaidi ya points20 msimu huu, hii ni fedheha kubwa sana kwa Epl.
🤣 hakika ruben katuambia msimu ujao tutaanza na phrase 1Kocha anaweza ongea lolote.
Ni mashabiki wa nyumbu tu ndiyo hua hawachambui wanachosikia, ila Arsenal tunajitahidi kuchambua
Inawezekana ila si rahisi.What was he thinking to start this lineup? He thinks 7-1 cannot be overturned,
Duh! Mjomba unataka kuua mbu kwa gobole.What was he thinking to start this lineup? He thinks 7-1 cannot be overturned,
Nisha sema hapo juuNyie Asaninyau ombeeni sana Real Madrid apite, ila mkikutana na hawa vijana wa Diego Simeone kwa hio forward yenu ya kina Nanweri na Moringo mnaweza msipate shot on target hata moja.
Endelea kuota ,siku hiyo hichi kijiwe Chenu mtakikimbiaLabda mcheze bila nguo mtaani😂😂😂....siku hyo David Raya ndo atawafunga
Nisha sema hapo juu
Hawa wahuni kwanza awachoki full energy mwanzo mwisho.


Madrid wenyewe na hio safu yao bora kabisa ya ushambuliaji duniani wameambulia shot on target moja, tena kwa tabu mno ndani ya dakika 45 za kipindi cha Kwanza, sasa nyie na forward zenu hizo za kina Moringo mnaweza msipate on target hata moja kwa dakika zote 90 za mchezo.Aisee nawaonea huruma sana hawa pimbi ,Atletico wanapiga kabali huko ni nuksi , nipo naangalia game ya Madrid na Atletico ,ni mpera mpera , Madrid wepotezwa ,hawaonekani kabisa , hawa Kenge wa Asenyeli hawatapata short on target hata moja wakikutana na hawa wahuni Atletico ,waombe Madrid dhaifu hii ipiteNyie Asaninyau ombeeni sana Real Madrid apite, ila mkikutana na hawa vijana wa Diego Simeone kwa hio forward yenu ya kina Nanweri na Moringo mnaweza msipate shot on target hata moja.
Wana minjemba hapo mapafu ya mbwa ,jitu kama Conor Ghallagher ,ni hatariNisha sema hapo juu
Hawa wahuni kwanza awachoki full energy mwanzo mwisho.