Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Nishasema kule juuMtakatifu Anne sio kawaida yako kabisa, yaani nimeshangaa mpaka dakika hii haujazungumzia chochote kuhusu Darwin Nunez.
" You will never walk alone, Nunes will escort you out of Champions League"
Jogoo alikula mchele mchana, kaliwa na wali usiku
Mmejitahidi kwa kuondoka na kikombe gani?Huu msimu hata ukitaka kulaumu ukicheki reality unabaki kujisemea moyoni tumejitahidi. City kaumia Rodri kapoteana kila sehemu
Tupo hapa KAMATI ya roho mbayaNaacha kushabikia mpira. Humu hamtaniona tena
Majeruhi amepata peleyake, Timu nyingine hazina majeruhi?Honestly mwaka ambao sitamlaum arteta ni mwaka huu
Majeruhi yamemuangusha
Klop msimu aliopata majeruhi wengi hata top 4 hakufika
Msimu uliopita tulifunga magoli mengi sana mpaka tukaona hatuna haja ya striker
Ila dirisha lijalo akigoma kusajili proven striker sitakuwa upande wake milele
Taja wachezaji wa Liverpool majeruhiMajeruhi amepata peleyake, Timu nyingine hazina majeruhi?
Mkituzingua tutakasirika na kuja kukaa hapo kileleni mlipo nyie mwezi wa tano. Ohooo.Mmejitahidi kwa kuondoka na kikombe gani?
ThubutuuuOya kimasihara masihara Arsenal tunaondoka na ndoo (UEFA) hawawezi amini
We timu gani kwanza? Nisije kubishana na mtu yupo Conference league
Tuna kombe la Emirates cup mpk Sasa😂😂😂....halafu tupo robo fainali uefa....nyny mna kombe gani mpk Sasa msimu huu majiranNyie mmefocus kwenye kombe gani hadi hivi sasa?
Ninyi pimbi mnajihesabu possible champions ?Kwenye pot ya leo kuna possible champions watatu Inter, Bayern na Barcelona.
Pot ya J5 possible champions ni wawili, Arsenal na yeyote atakayepita kati ya Atletico na Madrid. Kisha baada ya mechi yao anabaki possible champion mmoja kwa pot ya J5.
We are fucked in terms of probability
Dalili zilishaanza kuonekana tangu j3 mazoezini Salah na Arnold walitaka kuzichapa...mpk nikajiuliza wanagombea nn Hawa jamaa kumbe walikuwa wanaona kinachowajia....wale PSG sio watu wazuri aiseeNishasema kule juu
Timu inaenda penati na golikipa pazia wa penati kama Allison,
Afu mpiga penati ni Nuniez Mzee wa kukosa
Inategemea nini hapo?
Mnacheza penati na golikipa asiyeweza kudaka penati hata Moja..
Timu pinzani, kipa anadaka goli 2.
Bomu zaidi, Mpigaji wenu ndio huyo Nunez
Mara mia apige hata vvd au beki yeyote ila siyo
Nunez.
Nunez siyo kosa lake
Kosa ni la mtu aliyempanga kupiga.
Wikiendi tuna mechi na nyny jirani....habari za PSV achana nazo wale tutawapelekea under 16 wacheze nao ndo level yaoNinyi pimbi mnajihesabu possible champions ?
Tangu lini. ?
Damn ! ,The audacity ,yaani asenyeli hii hii au asenyeli ya mars ?
Hivi tuwe wakweli tuache unafiki hapo kwenye hiyo pool ya timu zilizobaki mnaweza kutunishiana misuli na nani ? , Kama si kubondwa kama ngoma ?
Barcelona au Bayern ,au atletico au Madrid au Inter ?
Msidhani mnacheza na Southampton au Everton , leo tu penyewe mnaweza fumuliwa vibaya na hao wahuni toka Uholanzi
Tutawanyoosha ,tena msiingize hicho kikundi chenu cha wanenguaji uwanjaniWikiendi tuna mechi na nyny jirani....habari za PSV achana nazo wale tutawapelekea under 16 wacheze nao ndo level yao
Labda mcheze bila nguo mtaani😂😂😂....siku hyo David Raya ndo atawafungaTutawanyoosha ,tena msiingize hicho kikundi chenu cha wanenguaji uwanjani
Football is a game of chance, jinsi gani unatumia makosa ya mwenzio, hakuna kisichowezekana
Yaani tupigwe 7 bila?Tupo hapa KAMATI ya roho mbaya
Kushuhudia unachokisema
Tulia hapoMmejitahidi kwa kuondoka na kikombe gani?
tetea kasema ana bet asenyoz kushinda Epl+ UclUmechanganyikiwa nini mzee