Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa Wana hasira na timu zao zinasajili ovyo Zina wazee , muda mwingine hazisajili, Sasa hasira wanamalizia humu ,hivo sio wakuwapa nafasi ,lengo tusijadili mwenendo wa timu yetu
@hamis77 huyu jamaa alikuwa anawadanganya sana humu.
Hivi sasa anapiga propaganda zake kwenye Jukwaa la Dini ana wahubiria watu huko eti Ujio wa Mtume upo karibu.
 
Ebwana eeh. Umequote text niliyoituma Mwaka jana wadau wengine ndiyo mnashtuka leo
Yeah mkuu nakumbuka wewe pia ulikuwa umeitoa liverpool kwenye mbio za ubingwa baada ya slot kupewa timu.
 
Naomba kuuliza na wala sio kwa ubaya washindani wetu wa karne mbili zilizopita; mapungufu ya zinchenko kwenye muundo wa inverted full back yalionyesha kasoro gani hadi arteta akaamua kwenda na Calafiori?
cc Castr
 
Naomba kuuliza na wala sio kwa ubaya washindani wetu wa karne mbili zilizopita; mapungufu ya zinchenko kwenye muundo wa inverted full back yalionyesha kasoro gani hadi arteta akaamua kwenda na Calafiori?
cc Castr
Zinchenko alikua ana majeraha ya mara kwa mara lakini pia ilifikia muda ikawa upande wake ukishambuliwa anakua exposed kua hayupo vizuri defensively. (too bad Calafiori ni weak hapa kwa % fulani)
 
Back
Top Bottom