Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] The true meaning of false hope.
1740627506332.jpg
1740627027746.jpg
1740627117542.jpg
 
Ni nyingi ndio lakini kutegemea liverpool adondoshe points ni uongo, na wakati anadondosha points swali ni kwamba sisi arsenal tunaweza kushinda gemu zote?
Hapo kwenye arsenal kushinda zote napo mtihani, mimi ni shabiki wa liver lakini nitaanza kuhesabu ubingwa hadi zibaki mechi 5 na gepu liendelee kuwa hivihivi.
 
🗣️Nuno Espirito Santo: “We didn’t revert to our back 5 formation because Arsenal don’t have a striker”
IMG_20250227_113616_480.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom