kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,135
- 15,738
Majinga kabisa,,,, Sterling mnamlipa ? Huyu inabidi awe anafanya usafi chooni
Naona centrebacks wamekuwa strikers, akina Zee walikuwa wapi😂Tumeanza ligi sasa tukiwa pungufu...👏👏View attachment 3250991
arteta hatochelewa kupata club nzuri, ila club ya arsenal itakaa 5 more years kupata tactician kama arteta. So the ground's yours arsenyani. #YNWAArteta atupishe tu. Hii timu hawezi ipeleka mbele zaidi. Tumshukuru kwa hapa.
Tofauti ya points 10 ni mechi 3 tu, tena mna mchezo na liver, ligi bado hii nyie.Wakuu tuseme ukweli hii timu yetu mizaa imezidi. Bado sina hakika wazo la kutosajili January lilikua la Arteta au bodi yenyewe.
Misimu mitano ni mingi asee Arteta atupishe.
Ligi bado ila wapinzani nao wanataka ushindi, siioni liverpool ya kupoteza michezo mitatu kwa fixture iliyobakia.Tofauti ya points 10 ni mechi 3 tu, tena mna mchezo na liver, ligi bado hii nyie.
Mechi 10 ni nyingi ujue, chochote kinaweza kutokeaLigi bado ila wapinzani nao wanataka ushindi, siioni liverpool ya kupoteza michezo mitatu kwa fixture iliyobakia.
Ni nyingi ndio lakini kutegemea liverpool adondoshe points ni uongo, na wakati anadondosha points swali ni kwamba sisi arsenal tunaweza kushinda gemu zote?Mechi 10 ni nyingi ujue, chochote kinaweza kutokea
Kwa kweli basha'ake.Alivyoingia basha la arteta sterling, nikaamini it is over
Hapo kwenye arsenal kushinda zote napo mtihani, mimi ni shabiki wa liver lakini nitaanza kuhesabu ubingwa hadi zibaki mechi 5 na gepu liendelee kuwa hivihivi.Ni nyingi ndio lakini kutegemea liverpool adondoshe points ni uongo, na wakati anadondosha points swali ni kwamba sisi arsenal tunaweza kushinda gemu zote?
Fala mkubwa huyu.
Pimbi wakubwa.The true meaning of false hope. View attachment 3251239View attachment 3251240View attachment 3251241
Safi sanaArsenal ku handle pressure uwa ni mtihani sana kwetu,
Huyu jamaa anakufa siku si zake