ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 709
- 868
Kikosi hakija balance pia kikosi chetu kipo kama pyramid Kadri unavyopanda juu ndio upana wake unavyopungua,kina mabeki wengi,viungo wengi halafu striker wa maana hamna.
Hasa hasa kila mnapoingia january/february, kila mtu anajipigia tu.What disturbs me, when we are at this stage of the league, we normally lose against nonentities
😂😂😂😂😂
Pigia mistari babaKwahiyo sisi timu zikicheza back 5 ndiyo basi tena
Kurudisha nywele nyuma kila akipiga shot off target.Hivi kwa nini Odergard ni kaptein wa Aseno!??? He is so avereage… ubora wake ni upi?!
Wahalifu wakubwa nyieUkweli mchungu huu usiulete huku sasa hivi
Madrid sio wajingaHivi kwa nini Odergard ni kaptein wa Aseno!??? He is so avereage… ubora wake ni upi?!
Mtanena kwa lugha zoteWhat disturbs me, when we are at this stage of the league, we normally lose against nonentities
Binti upo on fire leo.Pigia mistari baba
Wahalifu wakubwa nyie🤣🤣🤣
😂😂Arteta anawahi sana kupaniki anafanya substution za ajabu sana wakati timu inahitaji Goli yeye anafanya sub ya kumtoa Beki kwa kuingiza Beki tena.
Wewe ndo arteta mwenyewe yule siyo.Niko nacheza ps hapa, nime chukua arsenal vs westham.
huyu arteta ana feli wapi?, mbwa huyu
Kale kajamaa kichwa yake haijatulia kabisa😀Mbaya wenu hapa ni Pep kuwauzia Arteta akiwa hajakamilika kama kocha aliyeiva,city walikul;a pesa yenu bure tu.