Yule mhuni genge lake la mafisadi lolote baya liwakute. Nampenda na namheshimu sana ila namuombea mfululizo wa vichapo tu mpaka ligi iishe.Dah mkuu hujawahi kuwa na amani na kipara kabisa
Kumbe kuna mshabiki wa arsenal anayo Imani team yake itabeba epl/uefa ,haya ni matumizi mabaya ya IMANI na AKILI
Mhuni mwakani anarudi pale pale miaka 20 ya kipara epl atachukua mara 14 ,Arsenal ataendelea kuwa muhangaYule mhuni genge lake la mafisadi lolote baya liwakute. Nampenda na namheshimu sana ila namuombea mfululizo wa vichapo tu mpaka ligi iishe.
Ukweli mchungu huu usiulete huku sasa hiviMhuni mwakani anarudi pale pale miaka 20 ya kipara epl atachukua mara 14 ,Arsenal ataendelea kuwa muhanga
Huyo mchezaji ni wa kawaida kushinda kawaida yenyewe ,kawaida inamshanga,usinga angepewa Saliba ,Saka,Patey,Gabriel sio huyo kawaida .Mchezaji kapoa sanaHivi kwa nini Odergard ni kaptein wa Aseno!??? He is so avereageโฆ ubora wake ni upi?!
We mwanamama unaquote hadi quotes za mwezi uliopitaNa bado๐๐๐๐
Utajua mwenyewe ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWe mwanamama unaquote hadi quotes za mwezi uliopita