kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,131
- 15,726
Tafuteni kocha wa kueleweka,,,, Arteta sio kocha wa ubingwa,,, kuanzia akiwa mchezaji na now kocha hana mafanikio yoyote ya maana ,,,, ile Spain(golden generation) 2009-2013 arteta hajawahi hata kusogelea akafagie uwanja wa mazoezi ,,, kidogo alionja ladha ya mpira(vikombe) akiwa city na pep

