Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,384
- 3,266
nyie wehuuu
Yule fisadi mpigeni tu 😃😃😃Kwahiyo kesho Jamaa zetu mtatushabikia Liver tuzidi kuongoza league au City ashinde awapumulie? 😂
Ndiyo hivyo yaani


Tetea anamtoa Salima anamuingiza Ben Kinyaia akasawazishe, leo Rahim Sterling ndio MoM


Just kucut in na kushut wapuuzi wanashindwa
Dah mkuu hujawahi kuwa na amani na kipara kabisaYule fisadi mpigeni tu 😃😃😃
Yule mhuni genge lake la mafisadi lolote baya liwakute. Nampenda na namheshimu sana ila namuombea mfululizo wa vichapo tu mpaka ligi iishe.Dah mkuu hujawahi kuwa na amani na kipara kabisa