Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 8,164
- 18,671
Sukari inapanda 😂😂Kenge ni wewe mshamba hadi leo hujui ku highlight unachora kama bata.
Sukari inapanda 😂😂Kenge ni wewe mshamba hadi leo hujui ku highlight unachora kama bata.
Yule fisadi mpigeni tu 😃😃😃Kwahiyo kesho Jamaa zetu mtatushabikia Liver tuzidi kuongoza league au City ashinde awapumulie? 😂
Ndiyo hivyo yaani


Tetea anamtoa Salima anamuingiza Ben Kinyaia akasawazishe, leo Rahim Sterling ndio MoM


Just kucut in na kushut wapuuzi wanashindwa
Dah mkuu hujawahi kuwa na amani na kipara kabisaYule fisadi mpigeni tu 😃😃😃