Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,392
Wakati mwingine Arteta anazidisha upumbavuBora kucheza pungufu ijulikane moja kuliko kuwa na Sterling uwanjani
Wakati mwingine Arteta anazidisha upumbavuBora kucheza pungufu ijulikane moja kuliko kuwa na Sterling uwanjani
Sterling yupo vizuri ila ubaguzi wa Guardiola bado unamuathiri.Kwanini Sterling asinyimwe pass tu. F*cking
Ila kile kipindi cha pili bwana mdgo Odegaard alikuwa kama iniesta hivi mchakamchaka tu....Mungu asaidie tuende hivi hivi mpk Bukayo na Martinelli warudi....hyu Nwaneri Saka akirudi aisee wamuweke hata pale forward atatufaa....mtoto ana balaa sana yule🤠🤠🤠
Wanasubiri siku tukitoa hata droo wajazane humu.Hawaji leo na shombo zao