Wachezaji watano waliopo benchi ni mabeki, mna wakati mgumu sana.Unajua kabisa inahitajika sub ila huoni nani aingie
Wakati mwingine Arteta anazidisha upumbavuBora kucheza pungufu ijulikane moja kuliko kuwa na Sterling uwanjani
Sterling yupo vizuri ila ubaguzi wa Guardiola bado unamuathiri.Kwanini Sterling asinyimwe pass tu. F*cking
Ila kile kipindi cha pili bwana mdgo Odegaard alikuwa kama iniesta hivi mchakamchaka tu....Mungu asaidie tuende hivi hivi mpk Bukayo na Martinelli warudi....hyu Nwaneri Saka akirudi aisee wamuweke hata pale forward atatufaa....mtoto ana balaa sana yule🤠🤠ðŸ¤