Kwa mpira wa siku hizi mchezaji inampasa awe anashinda mapambano yake, ikiwepo ground na aerial duals.
Huyu Mbappe na mwenzie Vini, ni wachezaji luxury sana. Washukuru wanacheza kwenye timu kubwa ambayo inapata matokeo, na hata timu zilizomo ndani ya ligi yao hazina ushindani wa hivyo. Ila ukiileta timu hii hii kwenye ligi ya uingereza sasa hivi wangekua wanapigania nafasi ya 13 na Man Utd.
Tena bora hata Vini, huyu Mbappe hata kukimbia tu timu yake ikiwa haina mpira hawezi. Pasi zinapigwa hapo hapo mbele yake yeye amesimama.
Tunamsema Kai, sawa sio mfungaji mzuri na general play yake sio nzuri. Ila kama unajitaji team player/mpambanaji, ni bora ya Kai kuliko Mbappe. Only because Kai can sacrifice for the team.
Mbappe ndio aina ile ile ya wachezaji wa kariba ya Rashford.