Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ubingwa uko wazi,sema timu yetu haiko vizuri ubahiri utatuponza,liverpool bado hawajaexperience downfall ya season wanaweza kupoteza zaidi ya point kumi
Ubingwa unatutafuta ila hatuutaki kwa misimu hii 3 mfululizo.
 
Q
Kwa mpira wa siku hizi mchezaji inampasa awe anashinda mapambano yake, ikiwepo ground na aerial duals.

Huyu Mbappe na mwenzie Vini, ni wachezaji luxury sana. Washukuru wanacheza kwenye timu kubwa ambayo inapata matokeo, na hata timu zilizomo ndani ya ligi yao hazina ushindani wa hivyo. Ila ukiileta timu hii hii kwenye ligi ya uingereza sasa hivi wangekua wanapigania nafasi ya 13 na Man Utd.

Tena bora hata Vini, huyu Mbappe hata kukimbia tu timu yake ikiwa haina mpira hawezi. Pasi zinapigwa hapo hapo mbele yake yeye amesimama.

Tunamsema Kai, sawa sio mfungaji mzuri na general play yake sio nzuri. Ila kama unajitaji team player/mpambanaji, ni bora ya Kai kuliko Mbappe. Only because Kai can sacrifice for the team.

Mbappe ndio aina ile ile ya wachezaji wa kariba ya Rashford.
Ndio mana LiArteta linampenda sana Kai
 
Screenshot_2025-02-14-13-38-11-829_com.twitter.android-edit.jpg
 
Chelsea walipata goli baada ya mshambuliaji wao kumsukuma beki wa Brighton na kufunga. Goli likakataliwa.
Nakumbuka Newcastle walitufunga kwa kumsukuma bei wetu lakini pamoja na VAR, goli lao halikukataliwa. Nakumbuka pia mechi na Liverpool Havertz alikatwa mtama ndani ya boX. VAR wakasema no penalty wakati mimi niliona ile ni penalty na red card. Tulishinda 3-1 ila tungekuwa na ile advantage mapema sijui ingekuwaje.
 
Kwenye mechi ya leo haijalishi on paper na in field kotekote hakusapoti ushindi mwepesi. Hii ni kwakua huwezi predict mentality on paper, ni mpaka mechi ianze ndiyo inajua kua ingawa on paper we lack forwards ila mentality itatubeba kutupa magoli.
 
Kwenye mechi ya leo haijalishi on paper na in field kotekote hakusapoti ushindi mwepesi. Hii ni kwakua huwezi predict mentality on paper, ni mpaka mechi ianze ndiyo inajua kua ingawa on paper we lack forwards ila mentality itatubeba kutupa magoli.
@Castr hizi habari za Merino kujaribiwa kama Striker zimekaaje?
 
Mid zetu zingekua zinadrive in kwenda mbele swala la ST lingeweza kusahaulika ila kwakua sisi ni kuifuata pattern ya kushambulia ya unnecessary passes hii itafanya tuhitaji ST
 
Duh huyu si ndiyo alitolewa dakika ya 30 mkaanza kusema mliongopewa kua anajua mpira kumbe ni lofa?
Baada ya hapo mechi zilizofuata ulimuangalia? Ikiwamo hiyo yenu aliyombagaza Saliba.
 
Mara 1000 Calafiori angeanza kama LW kuliko Sterling
Mna shida nyie...hampo FA hampo Carabao. Hivi mara ya mwisho kuiona timu yenu inacheza ilikuwa mwezi gani tena. Kushabikia haka katimu shida sana aisee.
 
Back
Top Bottom