Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo miamba Bayern Munich wapo uwanjani wanakipiga na Celtic, Arsenyau ombeni sana Bayern asifanikiwe kuvuka hii hatua la sivyo Mechi inayofata ya Arsenyo atapangiwa na hawa wahuni wa Ujerumani na ndio itakua mwisho wa Arsenyo kwenye hii michuano ya ulaya.
1739367882384.jpg
 
Kai msimu wake ndo umeisha ,,,, ! Poleni majirani, sasa ni mwendo wa sterling kucheza false 9, hakuna rangi mtaacha kuona ,,, kijeba saka bado ndo kwanza ameanza mazoez mepesi !
 
Tusisikie mkilalamika kuhusu majeruhi ya King Kai, nyote humu kasoro mwanampotevu hamis77 mlikuwa hamumtaki.
Mna Jesus mtumieni kama namba 9 wenu sasa.
 
Arsenal wangese kweli, kama wangesajili January sasa hivi tungewapa kazi ya kufanya maana Arne Slut kuna viwanja vingi vya machinjio bado hajakanyaga.
Wasajili pesa waitolee wapi?
Unaambiwa pesa waliyotumia kumsajili Decline Rice ilipelekea almanusura timu kufilisika, sasa hivi ni mwendo wa kubeba wachezaji wa mikopo tu.
Kroenke ni mfanyabiashara amekuja kutafuta faida sio hasara.
 
Arsenyau hivi mna habari yoyote kuhusu hatrick aliyofunga jana kijana wenu Super Chido Obi Martin dhidi ya Chelkenge?
1739431978916.jpg
1739432237248.jpg
1739432015094.jpg
 
ubingwa uko wazi,sema timu yetu haiko vizuri ubahiri utatuponza,liverpool bado hawajaexperience downfall ya season wanaweza kupoteza zaidi ya point kumi
 
Back
Top Bottom