BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
DuuuhNi akili za kipumbavu kumuacha mchezaji matured kama Calafiori nje na kukipanga kile kitoto kipuuzi,halafu kinafanya faulo kinajifanya kulalamika,Arteta ana usenge sana
Si mchezo
DuuuhNi akili za kipumbavu kumuacha mchezaji matured kama Calafiori nje na kukipanga kile kitoto kipuuzi,halafu kinafanya faulo kinajifanya kulalamika,Arteta ana usenge sana
Arsenal fan anawezaje kuongea maneno kama haya?Ni akili za kipumbavu kumuacha mchezaji matured kama Calafiori nje na kukipanga kile kitoto kipuuzi,halafu kinafanya faulo kinajifanya kulalamika,Arteta ana usenge sana
Ana uhuru wa kutoa yake ya moyoni.Arsenal fan anawezaje kuongea maneno kama haya?
nkajua mtatoa 2.5+Ulifikiri tutashinda nyingi?
Sisi tumeshindwa. Bet leo nyumbu mnatoa 2.5+nkajua mtatoa 2.5+
mapema sana man u 2upSisi tumeshindwa. Bet leo nyumbu mnatoa 2.5+
Yani mnapigwa nyinyi au mnapiga?mapema sana man u 2up
tupate goli 2 😁Yani mnapigwa nyinyi au mnapiga?
Nafikiri kamaanisha Kai angekuwa kwenye position ya Calafiori angefanya vile?Kai angeunganisha ingekuwa offside
He claims that Skelly's foot was highWatu wengi walifikiria kama mimi. Kwamba ile red ni kwaajili ya DOGSO ila refa anasema dangerous play.
Dangerous play kivipi pale? Kwasababu ni professional foul kuzuia counter ila mwana kasema hapana ngoja niwaonyeshe
Hii ya moto, kipimio kikubwa kwa kocha mpya.Msikose big matches in less than one hour. Ni Chelsea vs Arsenal women to be streamed by Canal +, Azam and Dstv
Mh high? Aisee 😅He claims that Skelly's foot was high
Dstv channel gani?Msikose big matches in less than one hour. Ni Chelsea vs Arsenal women to be streamed by Canal +, Azam and Dstv
Hivi ungo wa canal + napataje? Na inawezekana kulipia online kama LUKU?Msikose big matches in less than one hour. Ni Chelsea vs Arsenal women to be streamed by Canal +, Azam and Dstv
Kulipa online haiwezekani, kwa sababu wakisha detect ip address yako ipo nje ya nchi wanazoruhusiwa kurusha, inagoma Kariakoo yanauzwa.Hivi ungo wa canal + napataje? Na inawezekana kulipia online kama LUKU?
Ndiyo nilichomaanishaNafikiri kamaanisha Kai angekuwa kwenye position ya Calafiori angefanya vile?