HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,674
- 7,130
“We want to do it The Arsenal Way,” says
@ArsenalWFC
’s Renee Slegers in her first press commence as new permanent head coach after the club confirmed the appointment
Naona tumeamua kumpa mwanadada Renee kazi maana kwa kweli ametembeza vichapo kwa wapizani mpaka wakaita maji mma. Wanawake wetu sasa wako points 7 tu nyuma ya wababe (wamame?) vinara Chelsea na point moja tu nyuma ya wahuni/matapeli/wezi Manchester City Women.
Tuone atamalizaje msimu. Renee angekuwa na Miedema, Arsenal ingekuwa hatari fire.
@ArsenalWFC
’s Renee Slegers in her first press commence as new permanent head coach after the club confirmed the appointment
Naona tumeamua kumpa mwanadada Renee kazi maana kwa kweli ametembeza vichapo kwa wapizani mpaka wakaita maji mma. Wanawake wetu sasa wako points 7 tu nyuma ya wababe (wamame?) vinara Chelsea na point moja tu nyuma ya wahuni/matapeli/wezi Manchester City Women.
Tuone atamalizaje msimu. Renee angekuwa na Miedema, Arsenal ingekuwa hatari fire.