Ndo watu mnawaogopa hawa?Habari njema kabisa hii, akivunjika na yule Magalasa kila mechi itakua ni mwendo wa kuimba tu humu Parapanda linaliaaa parapandaaaa.
Ndo watu mnawaogopa hawa?Habari njema kabisa hii, akivunjika na yule Magalasa kila mechi itakua ni mwendo wa kuimba tu humu Parapanda linaliaaa parapandaaaa.
😠 apone harakaSaliba out
Ndo watu mnawaogopa hawa?


Sio suala la kuogopa, Tetea kibarua chake hapo Arsenyau kinashikiliwa na uwezo binafsi wa Salima, Magalasa na SakaNyoka. Si mchezo.Sio suala la kuogopa, Tetea kibarua chake hapo Arsenyau kinatokana na uwezo binafsi wa Salima, Magalasa na SakaNyoka.
Nje ya hawa wachezaji 3 Arsenyo haina tofauti yoyote na Southampton au Ipswich Town.
Ni wale wale walio sababisha mtoke FA.Si mchezo.
Wachezaji gani wanasababisha msitoke nafasi ya 12, 13 & 14
So mna mpango nao ganiNi wale wale walio sababisha mtoke FA.
Ni wale wale walio sababisha mtoke FA.


Hili jibu limesimamia ukucha kabisa, sidhani kama atakua na pumzi nyingine ya kuuliza maswali ya kiduwanzi.Mzee tupo sana ila kwa kuibia ibia, tusipokua makini arteta na kai wake watatuvua nguo msimu huu tenaLeo nina ka intaneti kidogo ngoja nitafute muda wa kupost vitu vizuri vizuri vya Ze Ganaz maana Hamisi ametokomea wapi sijui...Mkorea naye amebanwa sana na majikumuu...
Mzee tupo sana ila kwa kuibia ibia, tusipokua makini arteta na kai wake watatuvua nguo msimu huu tena
Sasa naanza kuelewa kwanini hamis77 huwa anakimbia kwa muda jukwaa
Anyway aston villa tutamkanda 3 kavu


hii comment imenifanya nicheke sana na nimerudia kuisoma tena na tena. Kumbe Labyrinth na mijusi milia wake wamepigwa kwao leo?


Hii ligi ni ya kiume sana, kila mbabe hua ana mbabe wake. Tuna unga unga tuA depleted squad
Dah! Kama vile mapigo ya moyo yameanza kwenda kasi hivii